Recent content by MSOLOPAA

  1. M

    Rais Magufuli, usikubali kupakwa mafuta na Bunge la 12

    MHE RAIS MAGUFULI USIKUBALI KUPAKWA MAFUTA NA BUNGE LA 12 Na Emmanuel M. Makalla +255716605949 Bwana Yesu asifiwe, As-salamu Alaykum! Naomba kuchukua fursa hii kukupongeza mhe Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa tena kutangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu wa tarehe 28 October...
  2. M

    "Kati ya Wasifiaji wa Rais Wakiwemo Machawa na Wakosoaji wa Rais, Watu Critical, Nani Wanamsaidia zaidi Rais, Serikali Yake?

    Kwa upande wangu ni kundi la tatu ambalo ni dogo, hili lina watu very objective, wao Rais Magufuli na serikali yake, wakifanya mazuri, watampongeza, na wakifanya mabaya, watakosoa kwa kutumia constructive criticism, ambao ni ukosoaji unaofanyika sio kwa lengo la kubeza, bali kwa ukosoaji...
  3. M

    Msaada wa kisheria kuhusu mkataba wa kazi

    Acha kunitisha wewe,badala unipe msaada kisheria unanitisha??
  4. M

    Msaada wa kisheria kuhusu ujira wangu

    Hakuna taratibu zozote zilizokiukwa hapo???
  5. M

    Msaada wa kisheria kuhusu ujira wangu

    Habarini wapendwa Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo...
  6. M

    Msaada wa kisheria kuhusu mkataba wa kazi

    Habarini wapendwa Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo...
  7. M

    Hongereni sana Azam Tv kwa kuonesha kampeni za uchaguzi mdogo

    Hongera sana Azam the superbrand
  8. M

    Hongereni sana Azam Tv kwa kuonesha kampeni za uchaguzi mdogo

    Katika vyombo vya habari vilivyoonesha mikutano ya kampeni ya ccm na ukawa ni Azam tv pekee ila wengine too biased maana ni makijani tuu yameonekana huko Hongereni sana Azam you deserve to be superbrand in Tanzania and East Africa
Back
Top Bottom