Msaada wa kisheria kuhusu mkataba wa kazi

MSOLOPAA

Member
Dec 10, 2016
82
107
Habarini wapendwa
Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga
Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo naendelea na kazi na mshahara wananilipa??
Na je kama huyu mwajiri akiniletea mkata wakati nimeshafanya zaidi ya miezi sita nifanyeje????
 
Habarini wapendwa
Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga
Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo naendelea na kazi na mshahara wananilipa??
Na je kama huyu mwajiri akiniletea mkata wakati nimeshafanya zaidi ya miezi sita nifanyeje????
Mkuu kwa kusema haya tu ,tayari ushajulikana wewe ni nani na kama kuna mabosi zako humu tayari washakujua..
Be carefull sio kila kitu unakiweka jf tena kwa uwazi hivyo.
 
Mkuu kwa kusema haya tu ,tayari ushajulikana wewe ni nani na kama kuna mabosi zako humu tayari washakujua..
Be carefull sio kila kitu unakiweka jf tena kwa uwazi hivyo.
Acha kunitisha wewe,badala unipe msaada kisheria unanitisha??
 
Acha kunitisha wewe,badala unipe msaada kisheria unanitisha??
Ivi unaelewa maana ya maneno "msaada wa kisheria"???

Yani unafanya kazi na unalipwa mshahara una kipato yani halafu unataka msaada wa kisheria? Acha kupenda vitonga mkuu....unakua ganda la ndizi bana..

Sema hivii nahitaji "USHAURI WA KISHERIA" tena huo unalipiwa sio bure...
Acheni dharau na fani za watu bhana...mbona mkienda hospitali mnalipia kuonana na Dr??

Anyway, endelea na kazi.
 
Kisheria mkataba unapomalizika na ukaendelea kufanya kazi hata bila mkataba mpya ule mkataba unakuwa umeji renew yani unakuwa mfanyakazi halali
 
Mkuu kabla hujaja humu JF
1. Ulishaonana na HR/meneja uajiri wako kujua chochote kinachoendelea toka mkataba umeisha?
2. Umeshafanya jitihada za kuonana na bosi wako kumwambia kuhusu hiyo ishu? Kama ndio mwitikio wake ni upi?
3. Je utendaji wako wa kazi upoje?Unaridhisha?

Kama utanisaidia majibu ya uaminifu (honest answers) bitakupa msaada wa uaminifu pia
 
Kitaalamu wanaita ume-renew by default.
Kifupi wewe ni mfanyakazi halali mkataba umejerenew siku ya kwanza baaada ya mkataba wa awali kuisha
 
Back
Top Bottom