Habarini wapendwa
Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga
Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo naendelea na kazi na mshahara wananilipa??
Na je kama huyu mwajiri akiniletea mkata wakati nimeshafanya zaidi ya miezi sita nifanyeje????
Mimi ni mfanyakazi wa mkataba katika shirika moja la umma,na kwa sasa nafanya nao kazi katika mkoa wa Tanga
Msaada naoumba kwenu ni kwamba nilipewa mkataba mwaka mmoja ambao uliisha 15/11/2017 lakini cha kushangaza ni kwamba mpaka sasa sijapewa mkataba mwingine nisaini japo naendelea na kazi na mshahara wananilipa??
Na je kama huyu mwajiri akiniletea mkata wakati nimeshafanya zaidi ya miezi sita nifanyeje????