Nina mashaka sana na rais. Kimsingi nina hofu kubwa sana juu ya hatma ya inchi Hii. Hivi kuna Nini kati ya magufuli na makonda???? Wengine wanasema kwa kuwa wote ni wasukuma, basi hiyo ndio sababu. Lakini mimi najiuliza, nchi Hii kuna viongozi wangapi wasukuma wanaotetewa na rais ? Au hayo...
Hata ishu ya madawa ilikuwepo tangu kabla hajawa mkuu wa wilaya, na aliijua. Au imeanza juzikati? Tuache ushabiki na excuses. Kila kitu kinaweza kuanzia popote na anytime. Madawa yanaangamiza taifa na ni lazima tuyapige marufuku na wenye vyeti feki wachukuliwe hatua.
Hakuna rais anayetukanwa kwa maoni yangu. Watu wanatoa opinion zao; kitu ambacho ni haki, watu wanaikosoa serikali na rais wao; ila yeye anajiona ni Mungu. Hataki kusikia na kukubali kuwa yeye ni binadamu. Anakosea halafu hataki kuambiwa. Lazima watu wapate hasira wapaze sauti. Na the best...
Hakuna mahali panasema atangaze gazetini /ktk media kuwa W J Malecela au mtu yeyote ni jambazi. Atamwandikia au kumwambia RPC amkamate. Sio kutangaza kenye media.
Sina evidence kwenye mambo ya mapato. Na sio ishu za TRA at least Leo. Pia US kuvamia Iraq sio mfano mzuri. Kwasababu mwisho wa siku after month za ile invasion ipo na haina dalili za kuisha. Infact , US na UK wali declare that was and remain to be one of the worst decision. Mm sikatati ukweli...
Iv inchi Hii unajua watu wengi hatutumii uwezo wetu vema. Kuna tofauti kuwa kati ya ushabiki na science. Kimsingi sheria ni sayansi, na wala sio ushabiki. Regardless kuna yeyote ktk waliotajwa ambaye kweli anahusika katika hyo biashara au matumizi; ni lazima sheria ifuatwe kumuwajibisha...
No way. Wito wa jeshi la polisi/ serikali za mitaa una summon. Huweziamka asubuhi ukaenda ktk media kuwa-brand watu wauzaji na watumiaji madawa ya kulevya kabla hujawapa nafasi ya kujieleza. Ukisema watajieleza wakifika, kumbuka waliopeleka taarifa hawakutumia media. Na kama ulivyokwishaona ktk...
Yeye sio mahakama. Si halali pia kwake kukamatwa akiwa ktk viunga Vya bunge bila taarifa ya maandishi kwa kwa spika. Na sheria inaposema spika lqzina apewe taarifa maana yake ni kwamba, spika huyo anayo mamlaka ya kuzuia kukamatwa kwa mbunge iwapo tu kukamatwa kwake hakufuati sheria.
That is wrong. ZZK hakujadili jalada lililoko mahakamani. Alitoa hoja kwa missingi ya sheria na kanuni za bunge na mabunge mengine ya jumuiya ya madola. Watu bwana. Yaani kuuliza kwann bunge kupitia kiti chake halijapewa taarifa ya maandishi juu ya kukamatwa wabunge wake ndio kuingilia mambo ya...
That is wrong. ZZK hakujadili jalada lililoko mahakamani. Alitoa hoja kwa missingi ya sheria na kanuni za bunge na mabunge mengine ya jumuiya ya madola. Watu bwana. Yaani kuuliza kwann bunge kupitia kiti chake halijapewa taarifa ya maandishi juu ya kukamatwa wabunge wake ndio kuingilia mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.