Wote wanaomponda Mwakyembe lazima watakuwa ni majeruhi walioathiriwa na kimbunga chake na wezi waliozoea kuiba vitu vya watu bandarini. Kuna mmoja nilimsikia jana akishangilia kuondoka kwa mwakyembe kwamba sasa ataweza kuimalizia nyumba yake iliyokuwa imeishia kwenye lenta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.