Huo wimbo ni wa kitambo sn unaitwa sio wangu mm...sidhan sn km alimlenga gadna coz aliimba wakiwa wote...kuna mistar km sio wangu mm bali wa dar es salam kila bint mjin ye amempa mimba akipita kona watoto humwita babaaa nilidhan wangu kumbe wa dar es salam..wa kitambo sn
hanaga makuu dada wa watu na kenya wanamkubali sn...nmeona jana anapohojiwa willy tuva anasema wanaamini jide ndie msanii wa kike tajiri east africa anaeongoza...ila yuo kimya no mashauzi
Acha jide aitwe queen of music eact africa..kuna song kashirikishwa na msanii wa kenya atemidva bonge la song jide kafunika mbaya..na kitu kipya kingine chatarajiwa kuja kamshirikisha mazet yule wa ktk song la njalo na uhuru
Achen kumshusha jamani jide..jide atabak kua jide hakuna wa kumafananisha nae..wanakuja wasanii wa kike wengi wanavuma mfn kina linah.rachel,maua nk lkn bado jide anabak kua jide wengine wanapotea tu
Nmefuatilia post nying za zinc naona muda mwing sn ye amebase ktk kumponda jide always...so maybe ukute kuna kitu mlipishana malipo yake yamegeukia ktk kuanzisha thread za kumponda always bt ktk hili sitokuamin coz wabongo mnaongea sn na kila mtu anaongea kwa matakwa yake mrad nae aongee
Wabongo bwana...ukifanikiwa wanasema umetumia uchawi majungu hayo na roho ya kutu....nani hazion juhudi za lady jaydee na jose km uchawi ndio siri ya mafanikio nadhan jide angekua analala tu bt yule dada ni anajituma sn muda wote yuko busy hata viwanja huwez kumpata...mr nice aliboronga mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.