Recent content by msimamia kucha

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kulipwa Mafao na Nssf, je unapokamilisha taratibu zote huchukua mda gani kulipwa pesa

    Wadau habari za jioni, Mimi ni Muhanga wa ile sheria mbovu ya 33.3%, nilipitia msoto wa kukaa bila kupata ajira kwa miezi 18, baada ya kukamilisha taratibu zote na kuweka alama za vidole, leo ikiwa wiki ya 2 siku za kazi toka niweke dole, je kwa wenye uzoefu nitalipwa kweli ndani ya mwezi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Natakiwa kulipwa Milioni 7 ya NSSF, nimepewa 198,000, nyingine hadi mwaka upite, wanajua kesho yangu?

    Mimi hapa nilipitia huo msoto wa miezi 18 baada ya kulipwa 33.3% tarehe 17.06.2026 ndo niliweka fingerprint nikambiwa nisubiri ndani ya siku 30 za kazi....mpaka leo ni wiki 2 za kazi sijui watalipa kweli hawa wahuni maana kila kitu nil is haka mil is ha.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Wasira usione aibu shika mkongojo, sio unashikwa mikono wakati wa kutembea kama anayeimbiwa "Asimama peke yake amwona nchumba ake"😝🤣.

    Uwezi jua, ukimkuta kwenye kuichakata MBUSUSU ndo utaelewa amezeeka au la.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Netanyau aonyeshwa mwili wa AYATOLLAH baada ya kuuawa na kutolewa kwenye kifusi

    Bado hutaki kuamini Muiran wa Tandale.
  5. M

    JamiiForums Tanzania KERO Segesela Street nyuma ya Kitambaa Cheupe - Sinza mmejenga barabara lakini mmeacha mifuko na uchafu, Mamlaka mko wapi?

    Mkuu kwani wewe mpenda Mazingira safi ukikusanya na kuyachoma mahala stahili kuna tatizo?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tumkumbushe Mwigulu majukumu ya Waziri Mkuu Kikatiba

    Makamu wa Rais alimjaza juzi kule Ruvuma nae Kajazika watu wanamchoro tu.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mgambo akipata kichapo heavy toka kwa wananchi

    Hao ndo Wananchi wenye hasira kali
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Vipi Chuo chenu kikuu hapo mjini Kasoro Bahari nani aliwapa nyie mnaopenda Punje za Mchele.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

    "Tutakinukisha sana tena sana" Tundu Ant-Virus Lissy...na kimenuka kweli.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pira pantev maoni yangu

    Pira Pandev, Pira Bulgaria, Pira Tatoo moto Fire....
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele

    Kaokotwa kizembe sana Rtrd Ambassador ameshindwa kuwa na Bomba?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Yanga inaenda kuwa moja ya Teams kubwa Afrika. Simba mlikosea sana kumdindishia Rais

    Inzi wa Kijani UNANUKA
Back
Top Bottom