Recent content by msimamia kucha

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Wasira usione aibu shika mkongojo, sio unashikwa mikono wakati wa kutembea kama anayeimbiwa "Asimama peke yake amwona nchumba ake"😝🤣.

    Uwezi jua, ukimkuta kwenye kuichakata MBUSUSU ndo utaelewa amezeeka au la.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Netanyau aonyeshwa mwili wa AYATOLLAH baada ya kuuawa na kutolewa kwenye kifusi

    Bado hutaki kuamini Muiran wa Tandale.
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Segesela Street nyuma ya Kitambaa Cheupe - Sinza mmejenga barabara lakini mmeacha mifuko na uchafu, Mamlaka mko wapi?

    Mkuu kwani wewe mpenda Mazingira safi ukikusanya na kuyachoma mahala stahili kuna tatizo?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tumkumbushe Mwigulu majukumu ya Waziri Mkuu Kikatiba

    Makamu wa Rais alimjaza juzi kule Ruvuma nae Kajazika watu wanamchoro tu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mgambo akipata kichapo heavy toka kwa wananchi

    Hao ndo Wananchi wenye hasira kali
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Vipi Chuo chenu kikuu hapo mjini Kasoro Bahari nani aliwapa nyie mnaopenda Punje za Mchele.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

    "Tutakinukisha sana tena sana" Tundu Ant-Virus Lissy...na kimenuka kweli.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Pira pantev maoni yangu

    Pira Pandev, Pira Bulgaria, Pira Tatoo moto Fire....
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele

    Kaokotwa kizembe sana Rtrd Ambassador ameshindwa kuwa na Bomba?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yanga inaenda kuwa moja ya Teams kubwa Afrika. Simba mlikosea sana kumdindishia Rais

    Inzi wa Kijani UNANUKA
  11. M

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe: Kuingia uwanjani saa nne asubuhi wakati mechi inachezwa saa kumi na moja jioni ni mateso

    Kwa nilivyokuelewa naona unadhani hakuna mtu asiyekuwa na kazi ya kufanya, acha kupangia watu maisha... Pesa ya mtu haikihusu mtoto wa kike..watu wanashughuli zao ndo mana wanalipa viingilio na kununua jezi sasa kama mageti yanafunguliwa mapema na mitikasi yangu nimemaliza nishaingiza siku nini...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe: Kuingia uwanjani saa nne asubuhi wakati mechi inachezwa saa kumi na moja jioni ni mateso

    Huyu Edo ni mpuuzi flani anajiona yeye mwerevu Sana, yeye inamuhusu nini, yeye kwani anaingia saa ngapi.
Back
Top Bottom