Kwa nilivyokuelewa naona unadhani hakuna mtu asiyekuwa na kazi ya kufanya, acha kupangia watu maisha... Pesa ya mtu haikihusu mtoto wa kike..watu wanashughuli zao ndo mana wanalipa viingilio na kununua jezi sasa kama mageti yanafunguliwa mapema na mitikasi yangu nimemaliza nishaingiza siku nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.