Recent content by MSILOMBO

  1. MSILOMBO

    Mapenzi ni ya ajabu sana

    Ah shida zote za nini napenda napo pendwa
  2. MSILOMBO

    Asante Lionel Messi, kila la heri fundi wa mpira ambae mimi nimekushuhudia

    Uwezo haujifichi na uhakika ata akienda epl Bado atakichafua
  3. MSILOMBO

    Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

    Dah umenikumbusha nilikuwa redio flani Kuna jamaa namfaham kitambo Sana nikamuona mazingira hayo bwana we ziakanza salamu maraa pap kaongea ngeli nikasema alaaa usinidharaulishe na mi nikakirwanga af pembeni kulikuwa Kuna watu wakubwa tu na elimu zao. Baada ya mazungumzo mtu pembeni akaniita...
  4. MSILOMBO

    Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

    Kuna jamaa alibeba deki mpk shule
  5. MSILOMBO

    Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

    Umezingua ata muislam najua
  6. MSILOMBO

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Kwenye michezo tunafatitilia ili tu bet
  7. MSILOMBO

    Kero nilizokumbana nazo kwenye nyumba za kupanga

    Akhakha dah we jamaa mbona unayaonea aibu maumbile yako
  8. MSILOMBO

    UCL Final: PSG Vs Bayern Munich

    Kiukweli Bavarian wapo vizuri kwenye kutumia nafasi sio Kama psg
  9. MSILOMBO

    Ushuhuda: Tumbo la kuhara safarini kwenye basi la abiria

    Ah ilinitokea hii sitasahau kamwe. Nakumbuka nilikuwa natoka Tabora kwenda dar, sasa buana muda wa kupata chakula cha mchana ukawadia kama kawaida tumeshuka kwenye kahotel flani kucheki kwenye viooo naona nyama kama zote dah kidume si nikanunua, kula sana tena nikashushia na Sprite ya buku...
  10. MSILOMBO

    Ipi ni njia sahihi ya kutokomeza umasikini nchini Tanzania?

    Degree holder anashindwa kujiajiri kutwa kulilia kuajiriwa jombaa Elimu yetu haijakaa kimaendeleo na naona ndy ile ilokuwa inatolewa kwa mababu zetu na mkoloni.
  11. MSILOMBO

    Ipi ni njia sahihi ya kutokomeza umasikini nchini Tanzania?

    Kwa elimu apo nakukatalia, Tatizo la elimu yetu si ya kuvumbua na kupanua wigo wa teknolojia yetu. Tunanunua ndege nje magari njee vitu vya umeme kama simu matv nk njee na ukumbuke sisi ndyo soko LA kuwakuzia wao uchumi na 90% ya teknolojia hata na haya ya ulinzi yanatoka njee..
  12. MSILOMBO

    Helanya: Jambazi sugu, mshirikina alombaka Mama yake

    Ngoja niyapate yaliyonipita mkuu Fanya uendelee
Back
Top Bottom