Dah umenikumbusha nilikuwa redio flani Kuna jamaa namfaham kitambo Sana nikamuona mazingira hayo bwana we ziakanza salamu maraa pap kaongea ngeli nikasema alaaa usinidharaulishe na mi nikakirwanga af pembeni kulikuwa Kuna watu wakubwa tu na elimu zao.
Baada ya mazungumzo mtu pembeni akaniita...
Ah ilinitokea hii sitasahau kamwe.
Nakumbuka nilikuwa natoka Tabora kwenda dar, sasa buana muda wa kupata chakula cha mchana ukawadia kama kawaida tumeshuka kwenye kahotel flani kucheki kwenye viooo naona nyama kama zote dah kidume si nikanunua, kula sana tena nikashushia na Sprite ya buku...
Degree holder anashindwa kujiajiri kutwa kulilia kuajiriwa jombaa Elimu yetu haijakaa kimaendeleo na naona ndy ile ilokuwa inatolewa kwa mababu zetu na mkoloni.
Kwa elimu apo nakukatalia, Tatizo la elimu yetu si ya kuvumbua na kupanua wigo wa teknolojia yetu. Tunanunua ndege nje magari njee vitu vya umeme kama simu matv nk njee na ukumbuke sisi ndyo soko LA kuwakuzia wao uchumi na 90% ya teknolojia hata na haya ya ulinzi yanatoka njee..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.