Jerry Rebiam
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 402
- 356
Mimi Jerry Rebiam Medson Kyando ni mshabiki mkubwa na lia lia wa Barcelona Fc na Simba kwa Hapa Tanzania, kwa kipind cha hii miaka mitatu sikufurahishwa na matokeo ya Barcelona kwa upande wa champions league kuanzia matokeo ya 3 kwa 0 dhidi ya As Roma ...4 kwa 0 kutoka kwa Liverpool na hasa magoli 8 kwa 2 kutoka kwa Bayern Munich.
Nilichogundua matokeo haya yalisababishwa na hasa kuwa na team ya kawaida iliojengwa kumzunguka mchezaji mmoja yaani Lionel Messi, niliumia sana matokeo dhidi ya Liverpool kwani kipindi cha kwanza our Jord Alba alikia na chance ya kuumaliza mchezo kwenye kipind cha kwanza pale Anfield ila alifanya kitu kilichoudhi sana kwa kuurudisha mpira kwa Messi wakati yeye alikua na 95 za kufunga na kwa bahati mbaya Messi alipoteza ile nafasi. Team yangu haijawah kukubali kua Vidal, Busquet, Rakitic, Pique na Alba kuwa uwezo wao umeisha na tulipaswa kuunda team ya kiushindani. Asante Roma; Liverpool na PSG kwa kutupa alarm ya kuwa Barcelona uwezo wetu kiushindani ulikua umeisha pamoja na kiburi chetu, asante Bayern Munich kwa kutuambia kuwa tunahitaji kujiangalia upya.
Kwa upekee asante Lionel Messi kwa kukataa kuendelea na club yetu kwani unatupa nafasi ya kuitengeneza upya team yetu bila kukuzunguka wewe, huu ni upendo mkubwa sana. Mimi Jerry Rebiam nitaheshimu na kukumbuka uwezo wako uwanjani na nitakushabikia hata ukihamia Yanga, natamani usiangalie nyuma na uzidi kusimamia msimamo wako.
Kila la heri fundi wa mpira ambae Mimi nimekushuhudia # Lionel Messi
Nilichogundua matokeo haya yalisababishwa na hasa kuwa na team ya kawaida iliojengwa kumzunguka mchezaji mmoja yaani Lionel Messi, niliumia sana matokeo dhidi ya Liverpool kwani kipindi cha kwanza our Jord Alba alikia na chance ya kuumaliza mchezo kwenye kipind cha kwanza pale Anfield ila alifanya kitu kilichoudhi sana kwa kuurudisha mpira kwa Messi wakati yeye alikua na 95 za kufunga na kwa bahati mbaya Messi alipoteza ile nafasi. Team yangu haijawah kukubali kua Vidal, Busquet, Rakitic, Pique na Alba kuwa uwezo wao umeisha na tulipaswa kuunda team ya kiushindani. Asante Roma; Liverpool na PSG kwa kutupa alarm ya kuwa Barcelona uwezo wetu kiushindani ulikua umeisha pamoja na kiburi chetu, asante Bayern Munich kwa kutuambia kuwa tunahitaji kujiangalia upya.
Kwa upekee asante Lionel Messi kwa kukataa kuendelea na club yetu kwani unatupa nafasi ya kuitengeneza upya team yetu bila kukuzunguka wewe, huu ni upendo mkubwa sana. Mimi Jerry Rebiam nitaheshimu na kukumbuka uwezo wako uwanjani na nitakushabikia hata ukihamia Yanga, natamani usiangalie nyuma na uzidi kusimamia msimamo wako.
Kila la heri fundi wa mpira ambae Mimi nimekushuhudia # Lionel Messi