Recent content by Msichana wa jana

  1. M

    Binti wa UDSM aliyeposwa, kubakwa na kudhalilishwa na mchumba wa lazima anahitaji maombi yako

    Kuna watu bado wanaamini wakishamtolea mwanamke mahari ni sawa na kununua Ng'ombe wanahaki ya kufanya watakavyo. Kwa akili za hivi, ndio maana wazungu wanatufananisha na gorilla.
  2. M

    Hivi anaepaswa kuilinda ndoa ni mke peke yake au mke na mume

    Pole kwa unayopitia, mpaka Ile Imani ya kwamba kuolewa ni kustirika kwa mwanamke, itabaki kuwa jukumu lako kuilinda hiyo ndoa. Wabongo bado tunasafari ndefu katika sio tu kiuchumi bali katika ustaarabu pia hata ukisoma maoni ya wadau wengi humu utaona tulipo.
  3. M

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka unawaza hapo nyuma ulikosea wapi? Part[2]

    Wewe unapenda sana majanga, mtu una familia Yako, usitulie!! Unatafuta nini kwa ex?!! Unataka bahati mbaya itokee umsingizie shetani?!! Itapendeza kama atakutenda maana mwana kulitafuta.
  4. M

    Mkienda kwenye migahawa usinawe maji yanayomiminika chini ya ndoo nyingine kwani wanaweza kutumia maji waliyonawia wateja kuongeza mvuto wa biashara

    Naona sawa tu kama inawasaidia kwenye biashara zao maisha yenyewe yashakuwa magumu. Maisha ni kusaidiana. Au kwani Kuna madhara makubwa naweza pata kama mteja zaidi ya kuvutika kwenye hiyo biashara?!!
  5. M

    Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Ooh, kumbe mjadala ni kuhusu Israel! Huku, sina ufahamu na yanayojili maana Mimi si muumini wao. Nilikuwa tu nakujibu hoja Yako juu ya kauli ya kanisa kuhusu wanasiasa.
  6. M

    Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Maana ya 'ukipigwa shavu la kushoto, geuza na kulia' ni kwamba usilipe kisasi. Hawajalipa kisasi, hawewi kufanya hivyo ni kinyume na Imani, "wametii amri ya mamlaka"
  7. M

    Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    ULichokisema upo sahihi, dini haipaswi kupingana na mamlaka, wanatakiwa kutii mamlaka, na ndio maana wameanza na hili .. wameambiwa wasichanganye/ wasifanye siasa kwenye nyumba za ibada hivyo basi wametii hiyo amri kwa kuwaweka katazo la wanasiasa kuongea kwenye nyumba za ibada. Hawajakatazwa...
  8. M

    Somo kwa wanawake: Usikubali kuishi na mwanaume kwa zaidi ya miaka 5 bila kufunga ndoa

    Ni hatari sana kuwa kwenye mahusiano tu eti kisa huna pa kwenda ukiachwa maana umezalishwa, au kutegemea kuja kugawana mali mkiachana sijui.. Kuna ujinga mwingi hapo hata kufurahia maisha inakuwa kwa mbinde. Kama mahusiano yakibiashara yanaweza kuvunjika na Kila mmoja akaendelea kivyake kwanini...
  9. M

    Somo kwa wanawake: Usikubali kuishi na mwanaume kwa zaidi ya miaka 5 bila kufunga ndoa

    Kabisa, Kila mtu anasababu zake. Sio wanaume tu ndio wakuogopa vifungo visivyo vya lazima. Kikubwa ubongo na moyo vifanyekazi kwa kujitegemea katika majukumu yake.
  10. M

    Somo kwa wanawake: Usikubali kuishi na mwanaume kwa zaidi ya miaka 5 bila kufunga ndoa

    Mmh! Inategemea kwanini uko katika hayo mahusiano, kama ni kwa ajili ya ndoa, basi hakikisha ushauri wa mtoa mada unauzingatia haswa.. Ila kama ni kwa kwasababu zingine usiogope Kikubwa unajua unachokofanya
  11. M

    Naomba kujua ufanyeje ili ukiwa nje ya Tanzania Laini yako ya Simu isifungiwe na ukirejea Tanzania uendelee Kuitumia?

    Unaweza kuwa na simu ya ziada, unaweka line ya bongo kama bado ipo active then unaruhusu roaming, utaendelea kupata sms za mtandao husika za matangazo au miamala, au ukitaka kupiga, kupokea au kutuma sms unanunua kifurushi Cha kimataifa..
  12. M

    Kumiliki laini zaidi ya moja ni ushamba uliokithiri

    Mtoa mada, unafahamu hii mitandao inatoa huduma ya kukopesha? Sasa huwezi kupokelea miamala laini yenye deni, jariby kuwa muelewa kwa hilo🏃
  13. M

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Mmh, hongera na pole. Ila ujue Kila mtu anampata wa kufanana nae na kiukweli huyu ndio saizi Yako wale wengine (Mary na Samira) hukuendana nao.
Back
Top Bottom