Rasimu ya katiba mpya nisawa na kuuziwa mbuzi kwenye gunia huku ukifurahi kuwa umepata kitoweo kumbe ni fisi haliwi huyooo. Subiri muone mtaanza kulia wenyewe.
Hakuna Umasikini mbaya kama wa "fikra" nimewaona watu wazima wanaitwa wasanii, mara wakulima, japo nchi nzima tu wakulima. Lakini walio kuja kutoa maoni ni was maeneo flani napia niwale tu wenye vazi la kijani ambao kwanza wamepewa mkwanja halafu unapewa chakusema. Mtu mzima na nawengine mna...
Nakuunga mkono mleta mada. Ujinga ukituishia nchi yetu itakuwa na maendeleo ujapata kuona. Tatizo wajinga tuko wengi wajanja wachache wanatukamua kila kukicha. Ipo siku ujinga ukikoma patachimbika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.