Hivi Mbowe wa kweli ameenda wapi.Maana yule wa jana aliyekuwa anahojiwa na Kikeke anapata kigugumizi kidogo,hajiamini na anatoa majibu mepesi kabisa.
Hakika Dk Slaa aliifaa sana Chadema.Sasa hivi imepaya mno.
Hivi Mbowe wa kweli ameenda wapi.Maana yule wa jana aliyekuwa anahojiwa na Kikeke anapata kigugumizi kidogo,hajiamini na anatoa majibu mepesi kabisa.
Hakika Dk Slaa aliifaa sana Chadema.Sasa hivi imepaya mno.
Wa mwanzo kabisa alikuwa Moses Kulola.Huyo alianza miaka ya mwanzo kabisa ya uhuru.Watanzania tuna utayari mkubwa mno wa kuhadaika.Kama hata yule mzee wa kijijini kabisa Samunge alifanikiwa kuwatapeli watanzania na wana afrika mashariki wengi.
Kumbe kweli Chadema hawana utaratibu bayana wa uchaguzi.Sasa kuwafungia wapiga kura nyumbani kwa mgombea siyo kiashiria kuwa kuna mambo yasiyofaa yanaweza kutendeka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.