Mkuu Vedasto Prosper kuna hili suala la namna ya kudispose taka hapa kigamboni. Inasikitisha sana maeneo yaliyo surveyed kama kibada ,mikwambe mpaka Tuangoma; pamoja na mitaa kupangika vyema na kila nyumba kuwa inafikika kirahisi lakini hakuna huduma wala mpango wowote wa ukusanyaji wa taka...
Ndugu yangu Dr. Akili, kuna tofauti kubwa kati ya sayansi na Engineering! Usisome Lambert ukadhani unaweza kufanya chochote lichoandikwa humo kwa mazingira yeyote. Nilimsikia mkuu anazungumzia kirahisi rahisi hivyo hivyo kwamba "hapa ishu ni boiling points tu baasi" nikajichekea mwenyewe. Hata...
Sasa na wewe nawe umeanza kwa mikwara kama "mwanasayansi" kweli, kumbe nawe ni ubishi ubishi tuu. Unazungumzia chemistry za form 2 kwenye mambo serious namna hii?:(:(
mkuu watu8 ipo hivi; megawatt tayari ni rate ya consumption,ikimaanisha rate ya matumizi ya so so Joules per second.. Kwa hiyo kama unataka matumizi ya siku kwa rate hiyo utapata 12 x 60 x 60 x masaa ya kazi ya siku 1 ndipo upate ammount of energy (mega joules) . Kwa hivyo kiuhalisia ni kwamba...
Ni structure tu ya lugha hiyo adhimu kama ambavyo mathalani kwenye Kiswahili tuna mchambawima, mlandege, mlandizi,mkomanyani, n.k pale ambapo asili ya majina ya maeno hayo ni watu/mtu mwenye sifa fulani ; au mtendeni, mkuyuni, mwembeni n.k pale ambapo asili ni mti; au Kijiweni, kinondoni...
Asante kwa ushauri mkuu. Nitajaribu kufanya hivyo hasa kwa Mzumbe, maana hiyo ya SUA nahisi itakua ngumu kufanya kwa namna ninayoitaka ya evening programme (unless iwe na distant learning). Hata hivyo naamini maoni na ushauri wa wadau hapa unaweza kuwa bora kuliko hata ule nitakaoupata nikienda...
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu:
Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au...
Teacher: In inglish pliiiz...!!!
ZeMarcopolo : Itii...itiii...ittiii....
Teacher: Haya kwa kiswahili...:smile-big:
ZeMarcopolo : chadema ni chama kinachoongozwa kwa misingi ya kilaghai, na pia ni chama cha kikristu kama ni kile kingine kilivyo cha kiislamu na hiki chetu kilivyo cha kifisadi...
Teh teh...na hiyo ndio tofauti kati ya TIMU na kundi la wachezaji mastaa. The man has earned every right to do what he does. Labda usubiri tu akifeli ndo utakua na haki ya kusema vinginevyo.
Fumbo mfunmbie mjinga bibie...
What is this with underlining and bolding of names, and names especially a name against the other names?
I might be the most stupid here, but i think that kind of thinking is TERRIBLY skewed!!! I feel for you!!
........And mind you I don't fancy this EAC thing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.