Recent content by Mshindo

  1. Mshindo

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Mkuu Vedasto Prosper kuna hili suala la namna ya kudispose taka hapa kigamboni. Inasikitisha sana maeneo yaliyo surveyed kama kibada ,mikwambe mpaka Tuangoma; pamoja na mitaa kupangika vyema na kila nyumba kuwa inafikika kirahisi lakini hakuna huduma wala mpango wowote wa ukusanyaji wa taka...
  2. Mshindo

    Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

    Ndugu yangu Dr. Akili, kuna tofauti kubwa kati ya sayansi na Engineering! Usisome Lambert ukadhani unaweza kufanya chochote lichoandikwa humo kwa mazingira yeyote. Nilimsikia mkuu anazungumzia kirahisi rahisi hivyo hivyo kwamba "hapa ishu ni boiling points tu baasi" nikajichekea mwenyewe. Hata...
  3. Mshindo

    Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

    Sasa na wewe nawe umeanza kwa mikwara kama "mwanasayansi" kweli, kumbe nawe ni ubishi ubishi tuu. Unazungumzia chemistry za form 2 kwenye mambo serious namna hii?:(:(
  4. Mshindo

    Kwa niaba ya wakazi Mbezi/Kimara [Morogoro road] nasema asante rais Kikwete na serikali yako

    Timbaf...mnafanya traffic management kwa propaganda za JF? Buku 7 unauza utu, akili na roho yako? How cheap of you!!
  5. Mshindo

    Ghorofa nne DSM zinatumia umeme mkubwa kuliko mkoa wa Mtwara

    mkuu watu8 ipo hivi; megawatt tayari ni rate ya consumption,ikimaanisha rate ya matumizi ya so so Joules per second.. Kwa hiyo kama unataka matumizi ya siku kwa rate hiyo utapata 12 x 60 x 60 x masaa ya kazi ya siku 1 ndipo upate ammount of energy (mega joules) . Kwa hivyo kiuhalisia ni kwamba...
  6. Mshindo

    Shule za VIPAJI maalum: Nini dhumuni lake hasa?

    With exception ya Mwigulu na wewe pengine; nina uhakika hao wengine hawajasoma wakati shule hizo zikiwa ni maalumu.
  7. Mshindo

    Iringa sehemu nyingi zinaanza na "I" Nini maana yake?

    Ni structure tu ya lugha hiyo adhimu kama ambavyo mathalani kwenye Kiswahili tuna mchambawima, mlandege, mlandizi,mkomanyani, n.k pale ambapo asili ya majina ya maeno hayo ni watu/mtu mwenye sifa fulani ; au mtendeni, mkuyuni, mwembeni n.k pale ambapo asili ni mti; au Kijiweni, kinondoni...
  8. Mshindo

    mwanasheria Lucas Sinkala Mwenda ameteuliwa kugombea Kalenga -CHADEMA

    Juu kushoto karibu na dirisha; huyo mwenye skafu ya CDM Naomba picha ya Dada kamanda mshindi was pili
  9. Mshindo

    Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

    Nashukuru kwa michango yote. Bado napokea mingine mipya ili niweze ku-weigh out. Naamini wapo na wengine wanafaidika na michango yenu. Bless you!
  10. Mshindo

    Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

    Shukrani sana mkuu! Maelezo mafupi but jut what I needed! Unavyosema nijipange kuomba mwakani inamaana imeshachelewa taya ri kwa mwaka huu?
  11. Mshindo

    Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

    Asante kwa ushauri mkuu. Nitajaribu kufanya hivyo hasa kwa Mzumbe, maana hiyo ya SUA nahisi itakua ngumu kufanya kwa namna ninayoitaka ya evening programme (unless iwe na distant learning). Hata hivyo naamini maoni na ushauri wa wadau hapa unaweza kuwa bora kuliko hata ule nitakaoupata nikienda...
  12. Mshindo

    Msaada: Kipi ni Chuo kizuri kwa Msc. or MA in Economics nikiwa Bongo?

    Wadau,Heri ya mwaka mpya! Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio kwa umuhimu: Chuo chenye hadhi nzuri (reputable) kinachotoa shahada ya uzamili katika uchumi au...
  13. Mshindo

    My friend Zitto Kabwe

    Teacher: In inglish pliiiz...!!! ZeMarcopolo : Itii...itiii...ittiii.... Teacher: Haya kwa kiswahili...:smile-big: ZeMarcopolo : chadema ni chama kinachoongozwa kwa misingi ya kilaghai, na pia ni chama cha kikristu kama ni kile kingine kilivyo cha kiislamu na hiki chetu kilivyo cha kifisadi...
  14. Mshindo

    chelsea kuweka sokoni wachezaji

    Teh teh...na hiyo ndio tofauti kati ya TIMU na kundi la wachezaji mastaa. The man has earned every right to do what he does. Labda usubiri tu akifeli ndo utakua na haki ya kusema vinginevyo.
  15. Mshindo

    Nini maana ya kapu? Tanzania na Jumuia ya Afrika Mashariki...

    Fumbo mfunmbie mjinga bibie... What is this with underlining and bolding of names, and names especially a name against the other names? I might be the most stupid here, but i think that kind of thinking is TERRIBLY skewed!!! I feel for you!! ........And mind you I don't fancy this EAC thing...
Back
Top Bottom