Recent content by Mshindaji

  1. Mshindaji

    Ugunduzi binafsi: Tunapigwa kiujanja kwa kuikabidhi miradi chini ya Jeshi, haikidhi Vigezo kabisa

    CHADEMA mnakwama wapi? Fedha walizokuwa wakikatwa wabunge kila mwezi kwaajili ya kampeni za 2020 zilienda wapi? Ofisi za makao makuu zimejengwa wapi? Matrekta ya chama yako wapi? Sadaka ya ukombozi iko wapi?
  2. Mshindaji

    Hivi kuna watu wanaiamini CHADEMA?

    Hivi mtu anaanzaje kuichukia CCM?
  3. Mshindaji

    Hivi kuna watu wanaiamini CHADEMA?

    Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema n.k wawe Mawaziri? Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...
  4. Mshindaji

    Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amemaliza mgogoro kati ya kijiji cha Ng'ongolo na Kijiji cha Miuta

    Kwenye huu uzi nauhakika comments hazitafika 100 na likes za baadhi ya comments zitakuwa nyingi zaidi ya likes za uzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hongera afisa tarafa
  5. Mshindaji

    Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

    Itasaidia kukomesha wizi maana makampuni yalikuwa yanachukua tenda kwa gharama kubwa sana ukilinganisha na uhalisia, hongera sana JPM
  6. Mshindaji

    Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

    Nikweli mkuu mimi nimekula mayai na ndizi na nimesha kufa hapa.
  7. Mshindaji

    Tulioamishwa Tarrifs na TANESCO

    Sijui ni nani aliwadanganya watu kuwa hii huduma inaitwa tarrif 0, iko hivi hii huduma inaitwa tarrif 4 ambapo ukilipa 9150 unapata unit 75 japo watanzania wengi hulipa 9000 kamili hivyo hupata unit 73.8
  8. Mshindaji

    Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

    Baraza la wanawake chadema mnaweweseka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
  9. Mshindaji

    Kwa haya yanayoendelea, Wafadhili hawatatoa fedha na huo ndio utakuwa mwanzo wa Wabunge wasio na ridhaa ya chama kugeukwa

    Akili zenu zinawaza misaada tu, wafadhili watoe wasitoe sisi tunasonga
  10. Mshindaji

    Kwa tunaomjua Bashiru Ali, tumebaki na butwaa

    Utakuwa na kiribatumbo wewe, sio bure
  11. Mshindaji

    Sijasikia Waandishi wa habari wakiwahoji upande wa NEC na Bunge kuhusu Wabunge Viti Maalum wa CHADEMA

    Usitupangie chakufanya, anzisha media yako uwaelekeze waandishi wako chakufanya kama DJ mbowe anavyofanya
  12. Mshindaji

    Malagarasi Hydropower Project - Loan Approved

    Makamanda njooni tupinge japo mbeba maono wetu kaingia mitini #Niyeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom