Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe wacha tu niende huko, maana hapa pameshanukaWakuu, Kama mnavyofahamu Canada imetangaza inahitaji watu wa kwenda kuishi huko, nami naomba kujua taratibu za kufuata ni zipi kulingana na hiyo offer? Ahsanteni.
Sijaona tangazo lolote bali nimesikia kwenye redio na hawakusema requirements zozote, Kama unafahamu nisaidie tafadhali au nipe link ya hilo tangazoSoma hilo tangazo info zote zinapatikana hapo. Au tembelea ubalozi wa Canada utapata maelezo pia.
Zipo nyingi na hizo ni baadhi tuHizo ndo requirements zenyewe?
Wafuate ubalozini kwao au watumie email.. Utapata majibu ya uhakikaSijaona tangazo lolote bali nimesikia kwenye redio na hawakusema requirements zozote, Kama unafahamu nisaidie tafadhali au nipe link ya hilo tangazo
Nenda Dodoma ACHA ...WEWEWakuu, Kama mnavyofahamu Canada imetangaza inahitaji watu wa kwenda kuishi huko, nami naomba kujua taratibu za kufuata ni zipi kulingana na hiyo offer? Ahsanteni.
Hii ninmoja kati ya changamoto zinazo tukabili sisi wa Tz, negativity + pestimism, mbona raia wa mataifa wenzetu jirani wana fakamia nafasi kama izi zinapotoka na wananpeana details bila kukatishana tamaaKatika maisha yako yote umewahi kwenda canada??!!?..je una ndugu anayeishi canada??!!
Tuanzie hapo kwanza.
Unajua kabla ya kushutumu mtu,uwe umeelewa kwanza..huyo mdau kaulizia requirements,yaani vigezo vinavyohitajika ili kutumia fursa iliyotangazwa na wacanada..hizo mbili ni baadhi tu ya requirements zihitajikazo...labda we ulitaka nimjibu vipi!??Hii ninmoja kati ya changamoto zinazo tukabili sisi wa Tz, negativity + pestimism, mbona raia wa mataifa wenzetu jirani wana fakamia nafasi kama izi zinapotoka na wananpeana details bila kukatishana tamaa
Acha iyo kitu mdau,