Chonde chonde rafiki yangu, rungu hiyo naomba uanze na watu wa maji. haya ya dowans mnapoteza muda, mutakilana bure... Tanesco hawana Hatia.... Wao walijiosha mapema..
hawahusiki kabisaaa..... Mambo haya yana wenyewe.. ninaposhangaa muhusika anaendelea kula kuku.. Sita anasema mtu huyu ana...
Dimegasa asante kwa kujibu. Watu hesema mcheza kwao hutuzwa... watu mahali walipo na ofisi yao, kampuni yao ya kuchimba visima, chuo chao, nk....yaani nyumbani kwao hawakerwi na ukosefu wa maji for takriban 20 years, ina maana watoto wao kama hawajaenda Boarding school nje ya Dar, hawajawahi...
Nitashukuru kama watajibu na nitashangaa kweli.... maana njua hawana majibu. Kila ikikaribia february.. wanatangaza programu ya maji.. bajeti yao ikipita wanaingia mitini..
mi naomba... pigeni kelele jamani ...wamelala hao bro...
Wapendwa wana JF, ni kweli Tanesco wanatukosea mengi, kama ilivyo kila chombo cha selikali yetu, lakini ebu angalia wamesambaa hadi wapi, mtandao wa umeme mkubwa kiasi gani, kisha jaribu kufikiria gharama za mtandao angalau kwa kilomita moja ya 33KV ni kiasi gani achilia mbali 132 na 220 KV na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.