Wakipigwa chini lazima wahahidi hadi nzuri ajira kwa vijana dawa yao ni kuwapiga chini ....Bora tumpe Mengi na bharesa hawa wameajiri kabla awajapewa madaraka je wakishika hatamu
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
kiwanda ni wewe na mimi kama unaweza azisha co serikari Mengi ..na bharesa mbona wana viwanda na wameajiri maelfu ya watu usisubiri serikali ukufanyie sema wewe umefanya nini utengezewe njia ya kukuraisishia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.