I see kumbe bado wazalendo wapo hii Tz??????!!!!!!!Mimi nilidhani alipotutoka baba wa taifa ndio ulikuwa mwisho wa kuwepo wazalendo tz. Lakini hongera, ila sio kila anayesema bwana! bwana! Atauona ufalme wa mungu
we subiri tu. walidhani nchi hii ni shamba la bibi yao wanakula peke yao. Safari hii tunao mpaka kieleweke. Cha msingi tuhamasishane kujiandikisha wakati utakapofika ili tukabe hadi penati
kuongozwa na mwanamke ni wa sawa na kuweka tofali golini wakati unacheza na timu kama buyern munich halafu mpo wachezaji 9 ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
si kila aliyesoma ameelewa alichosoma, wengine walikalili tu ndio maana baada ya muda wanasahau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!tehe! tehe!...tehe!... hii nchi bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.