Recent content by mshambuliaji no.9

  1. M

    CHADEMA njaa kali, kuanzia leo siwaamini tena, wapo kimaslahi zaidi

    Tatizo la Wa-tz tulipewa mali hatukupewa akili
  2. M

    CHADEMA njaa kali, kuanzia leo siwaamini tena, wapo kimaslahi zaidi

    I see kumbe bado wazalendo wapo hii Tz??????!!!!!!!Mimi nilidhani alipotutoka baba wa taifa ndio ulikuwa mwisho wa kuwepo wazalendo tz. Lakini hongera, ila sio kila anayesema bwana! bwana! Atauona ufalme wa mungu
  3. M

    Niliwahi fikiria hakuna upinzani wa kweli Tanzania

    Tafadhari mpunguzie ukali wa maneno
  4. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    safi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  5. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    we subiri tu. walidhani nchi hii ni shamba la bibi yao wanakula peke yao. Safari hii tunao mpaka kieleweke. Cha msingi tuhamasishane kujiandikisha wakati utakapofika ili tukabe hadi penati
  6. M

    Tumuangushe Godbless Lema 2015

    siasa za ushabiki zinaipoteza tz
  7. M

    Boss wa Home Shopping Centre 'apewa shavu' na Tanzania huko China

    sisi ndio tumeichagua serikali iliyopo madarakani sasa tunashangaa nini inapofanya maamuzi??????????????????????????
  8. M

    Tanzania bado tutaendelea kuwa na First Lady na si Rais mwanamke

    kuongozwa na mwanamke ni wa sawa na kuweka tofali golini wakati unacheza na timu kama buyern munich halafu mpo wachezaji 9 ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  9. M

    Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

    kwani Tanzania nzima umeona ni Lema tu aliyeshindwa kutimiza ahadi alizoahidi? Fungua kwanza macho uone mbali na ufikiri kabla ya kutamk
  10. M

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    si kila aliyesoma ameelewa alichosoma, wengine walikalili tu ndio maana baada ya muda wanasahau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!tehe! tehe!...tehe!... hii nchi bwana
  11. M

    Serious, natafuta msichana kutoka mbeya anayehitaji kuolewa

    nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
Back
Top Bottom