Recent content by MSHAMBA WA KAENGESA

  1. M

    Usahili wa Tutorial Assistants katika sekta ya Elimu

    Tusaidiane sote maana mambo so pw kabisa
  2. M

    Makonda anageuka super sub inayotoa matokeo

    Raha sana kusikia semaji anavyo toa hoja na kujibu kelo na kuzitatua hapa kwetu Tanzania!!! Hakika mwenezi wetu unatufanya tutembee kifua mbele RAHA sana kuwa CCM chama cheze watu makini na hodari!!! Endelea kuchapa kazi
  3. M

    Naamini kwa dhati kabisa nguvu ya Makonda haitokani na kuwa kwake katibu mwenezi wa CCM, lazima kuna chanzo kingine kinampa kujiamini kiasi hiki

    Unafrahisha sana kujiita mlokole! Na kutabili uongo kiasi hicho Inawezekana nafasi IPO ila watu hawakujua /kupenda kuitumia ipasavyo!! Baba huyo ndo msemaji wa CCM!!! MAKONDA Baba lao endelea kusafisha mapito !!
  4. M

    PreGE2025 CHADEMA yakubali kufanya mdahalo na CCM kwa masharti

    Makonda kiongozi mbunifu sanaaa Ninaimani utawamudu hao vizuri Wajichanganye wakusogelee Uwezo wako mkubwa sambaza hoja zao mapema!!!!
  5. M

    PreGE2025 Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo

    Akili kubwa sanaaa Nakuelewa vizuri ndg kada mtiifuuu Albert Chalamila
  6. M

    Hadhi ya Makonda kwa Sasa ni sawa na Makamu wa Rais au Kaimu Rais, ana haki ya kumpa maelekezo mtu yeyote yule, hata Philip Mpango

    Hakika makonda unatufrahisha vijana wako!! Kwani unatoa MAELEKEZO ya CCM inavyotakiwa!! Hapa nakupa pongezi sana
  7. M

    Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

    Makonda kibinafsi napenda sana Uwezo wa uwajibikaji wako, Uwezo wa kutetea na kutoa hoja, Uweza wa kuisemea Serikali yetu, Uwezo kukisemea chama chetu, Uwezo wa kumsemea Rais wetu, Uwezo wa kuwasemea viongozi Chapa kazi!! Tunaimani na wewe CCM iendeleee kuwa imara
  8. M

    Mzee Kinana afungua Semina ya mafunzo kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    KIONGOZI WETU !! BABA KINANA ENDELEA KUCHAPA KAZI WAO TOA SEMINA TUENDELEE KUWAPA MAELEKEZO NAMNA YA KUILINDA NA KUWA WAZALENDO KWA NCHI YETU!!
Back
Top Bottom