Kwa masitikiko makubwa nimeambiwa kwamba hali ya Kampuni ya Business Times, inayomiliki magazeti ya Business Times, Majira na Spoti sasa imekuwa tete. Wafanyakazi wake hawajalipwa kwa miaka miwili sasa huku waandishi wa mikoani nao wakiwa hawajalipwa kwa muda wa miaka minne sasa. Talents nyingi...
Masikitiko makubwa ni kwamba wakati kampuni za magazeti zikiwa katika hali ya taharuki ya kushuka kwa biashara, mambo sio mazuri kampuni ya Business Times. Wafanyakazi sasa wamegeuzwa manamba na kumekuwa na impunity kubwa ya familia ya mmiliki wake. Ukidai chako basi unatishiwa, chama cha...
Blue print yake haina uhalisia..AMECHANGANYA Na mambo mengine ya marekani ambayo utekelezaji wake utakuwa mgumu sana. Tuelewe kwamba tanzania hii ni nchi tajiri sana. Ona hii formula gdp=savings+investments+government expenditure+ (exports-imports) haya..SAVINGS Zetu tunazipeleka new jersey...
Mbona balozi huyu aliporipoti mwaka jana alikutana na wadau mbalimbali...hata huyu naye inawezekana alikutana naye kuweza kufahamiana...tena inaonyesha picha hii ni ya mwaka jana
Hivi yule dada Mareale ameshaacha kazi pale mwananchi.......Makunga naye alifanyiwa fitna ile mbaya mpaka akaondoka wakati kabakiza mwaka mmoja wa kustaafu....Nasikia Costa Mganyizi naye kafurumishwa kama paka shume maana huyu jamaa aliona mwananchi kama kampuni ya kwao na sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.