kuna watu walipewa mafunzo hapo kama miezi mitatu hv mmoja namfahamu nimesoma naye chuo kwa hyo ndugu zangu tulizeni mshono, kama uantaka mali utaipata shambani
tatizo mnasoma haraka haraka yeye ameuliza kama swali, ni kweli kuna mkanganyiko ila mm pia nauluza ikiwa hawa jamaa tokea 2013 au 14 wanawaibia watu na bado hawakatwi
hilo la mkuu wa mkoa mm cna hakika ila mantiki yangu ni kwamba ni muda mrefu hawa jamaa wapo hapa mjini wanahangisha vijana lakini mbona hawakamatwi na wanaendelea kutapeli tu hapa mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.