Recent content by MSENEFU

  1. M

    Haya hapa maujanja ya kutengeneza Natural Viagra, Mademu lazima wakukome!

    Daah....mie kuzuga hata sijui....Ufanyike utaratibu wa kuwa na experiments halafu watu waje watoe shuhuda zao huku. Najua wanajamvi hili linawezekana
  2. M

    Haya hapa maujanja ya kutengeneza Natural Viagra, Mademu lazima wakukome!

    Hapa nilipo,kama nitaongeza uwezo ka kupiga game japo kwa 1%, hali itakuwa ngumu sana.Maana uwezo nilio nao tu nashindwa kuumudu. Mkali nambie hapo nikiongeza sukari haiwezi kuwa dawa ya kupunguza?
  3. M

    Kama haya ya walinzi wa Makonda kwa Nape ni kweli basi ni aibu kwa Rais wetu

    Dah....ila nacho kiona hapa Mkuu wa kaya anaweka precedent kama mbili hvi ambazo zitankaba mwenyewe baadae. 1.Zoezi la kuhakiki vyeti limepoteza maana coz akifuatilia zaidi itaonekana double standard 2.Indirectly anaonesha uhalali wa mtu mwingine kuunga vyeti hata vya kununua kwa kushindwa...
  4. M

    Wanachuo wangu wananitega

    Kaka wewe nyoosha tu.na hvi umesema ni wanachuo?Hao wanajielewa nyoosha mkuu. Dah yani wakati mwingine nawaza mbona hzi bahati haziji kwangu?
  5. M

    Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

    Nahisi tatizo sio kuitikia mitongozo....tatizo hujatongozwa vizuri
  6. M

    Nipe namna nzuri ya kuitikia mitongozo

    Cleopatra naomba unipe nafasi ya kupenyeza sentensi mbili tu masikioni mwako ili nipate fursa ya kuitoa hyo bikra.
  7. M

    Wanawake wenzangu, mnawezaje kukabiliana siku ya 1 ukikutana na mwanaume mwenye maumbile makubwa?

    Kimsingi huwa hakuna mwanaume mwenye kibamia...sema mwanamke ndo unakuta una bwawa.Kwahyo ikitokea umekutana na unaedhani ni kibamia,Pengine angemfaa Mdogo ako au mwanao
  8. M

    House girl wa boss ananiomba nifanye nae mapenzi

    Me nakushauri umpe anacho kitaka.Kwanza ujue kutembea na wanawake wahitaji ni charity. Kama kutembea na mjane unapata thawabu
  9. M

    Mh. Mkapa na Mh. Magufuli mmetoka mbali!!

    Ule utaratibu wa Raid kuzungumza na wananchi kila mwisho wa mwezi ulio anzia kwa Ben,akaja Jakaya akauendeleza .....Sasahv umrpotelea wapi?
  10. M

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Sasa kama kutongoza huwezi inabidi uwe na pesa za kuhonga
Back
Top Bottom