Kumshindanisha dst iliyoanza 1996 na azam wa mwaka2013 sio sawa naiman hata wao walianza na makosa mengii kabla ya kufikia huo ubora unao uona leo big up kwa azam mpaka kushindwanisha na mkongwe wa kimataifa si jambo dogooooooo
Tanesco Tanzania mnakera sana jamani ndio nini huku kinondoni msisiri mnatukatia katia umeme jamani hiv mkituunguzia vitu vyetu kwa kuwasha na kuzima mtatulipa
Tanesco tanzania turudishieni umeme huku kinondoni kata ya Msisiri yahn game ya yanga imeanza nyie ndio mnazima umeme😡 turudishieni umeme bhana tafadhalini
Sasa mimi na ww nani uelewa wake mdogo jombi😂 kwenye uzi wa veronica sijui latifa kisha wewe unaleta habari za sule hebu kaangaike na mambo yako unaonekana vikoba vinakuchanganya😂
Sasa hayo mambo ya sule yananihusu nini mimi😂 wewe ndio mtumwa kwa kumtetea mtu ambae alijiita latifa wakat anadai analala na joka kumbe jina alopewa na wazee wake ni vero😂 sasa nimekosea wapi kusema ukweli bint wa iman fulani kuvaa nguo za kujitambulisha kama ni waimani ya tofauti na yake na si...
Baba yangu anaitwa mussa na ni mkristo na mimi sijawazungumzia hao na wala hawanihusu hapa nimemzungumzia veronica ambe kwenye interview yake ya kulalana na joka alisema anaitwa latifa aisee kama hujaelewa nilichokimaanisha usiniletee gaazeti la mazingzong saa hiz
Eti nisigawe watu kwa mavazi huyo dem vero ndio alishajigawa mwenyewe kujiita majina ya kiislamu wakati sio wa dini hiyo sasa mimi nimewagawa kina nani mbona unaropoka tuu kama umelishwa usembe au ndio simu yako bando lako hakuna wa kukupangia cha kusema😂 umeshikilia kwenye mavazi tuu lkn jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.