Recent content by Msanii

  1. Msanii

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Jamaa kakumbatia nchi. Hatari sana😀😀 Baba wa Kambo
  2. Msanii

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda kumpa pole Samia Suluhu Hassan. Naanzia wapi?

    Amfunike Chovayo😀
  3. Msanii

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    .🎶🎵🎵..Kifooo ooh Kiifo... ... KIFO HAKINA HURUMAA..🎵🎵🎶 BY Remmy Ongala and Super Matimila...
  4. Msanii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AU yamfuta kazi Mwanadiplomasia wa Burundi baada ya kukosoa Kenya

    AU kichaka cha majambazi na wauaji wa Waafrika
  5. Msanii

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda kumpa pole Samia Suluhu Hassan. Naanzia wapi?

    Anza mazoezi ya kukumbatia kidiplomasia....😀 Wengine watakupa koneksheni
  6. Msanii

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Freeman Mbowe. Hapendwi mtu ila pesa kwanza. Anamchukia TAL kuliko ambavyo angemchukia SSH aliyemtia gerezani miezi 8+ bila kosa!!

    Hahahaha Ngoja tuulize AI maana hakuna kumbukumbu za hilo.
  7. Msanii

    JamiiForums Tanzania Wasira: Tukipunguza nguvu za rais nchi haitapata maendeleo.

    Hizo nguvu zimetumika Kuteka, kutesa, kubambikia kesi, kufira na kuua Watanzania maelfu mpaka sasa. Maendeleo gani yameletwa na nguvu za rais nje ya Ripoti za CAG?
  8. Msanii

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Mtafute Enya. Mtafute Whitney Huston Mtafute Millie Mtafute Sade ....
  9. Msanii

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Baba yetu wa kambo The BANKER himself
  10. Msanii

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Freeman Mbowe. Hapendwi mtu ila pesa kwanza. Anamchukia TAL kuliko ambavyo angemchukia SSH aliyemtia gerezani miezi 8+ bila kosa!!

    Mbowe hajawahi kwenda kumtembelea Lisu gerezani. Wewe uache kumfanyia promo dalali wa roho za watu alioshiriki kupotea kwao akiwemo Ben Saanane
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    Huyo muuaji Samia anatoa wapi hizo fedha kama siyo kodi zetu? Sisi siyo wapumbavu
  12. Msanii

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Damu ya Watanzania haipo mikononi mwetu CCM, chama hakikuchukua silaha kumdhuru yeyote, Oktoba 29, 2025

    Huyu mwehu anadhihirisha kuwa CCM ni chanzo kwa mtindio wa ubongo kwa wanachama wake. CCM imeua watanzania hakuna kukwepa. Wananchi tunasubiri wakati sahihi wa kuwawajibisha na kuwaadhibu wahusika wote. Kuanzia walioplan, waliotoa maagizo, waliotekeleza na kuhusika na atttocities zote
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Katambi hana Mamlaka ya kuwahoji wahalifu na kutoa hukumu

    Serikali CORRUPT ndiyo hukimbizana na raia wake mitaani. Hizi drama zao zina ukingo
  14. Msanii

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Dalali wa mauaji ndiye hupush agenda ya maridhiano bila UWAJIBIKAJI Tunakusoma na pricetag yako
Back
Top Bottom