Recent content by Msanii

  1. Msanii

    JamiiForums Tanzania Meli zikikamatwa na makosa ilionesha zinapeperusha Bendera ya Tanzania. Naona sasa ni zamu ya makahaba huko Thailand kujitambulisha Watanzania

    Kasome ripoti za CAG Safari ya shitty brand imeanzia huko CCM ni shithole brand pia
  2. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutambua laghai, jiulize kwa nini jina la Yesu ndo pekee labadilishwa eti kuendana na lugha

    Umenena kwa Lugha bila kujazwa Roho Mtakatifu hapa
  3. Msanii

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Hata shetani alimjaribu Yesu kwa kitumia maandiko ya Neno la Mungu. Je alivuviwa na Roho Mtakatifu? Jinga jinga sana wewe na wrnzako walio juu
  4. Msanii

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Mmejinadi kushinda asilimia 98 na leo chupi zimewabana kutaka maridhiano. Shetani sehemu yake ni jehanamu ya moto. Cult yenu inasererekea huko. Utaishia kubwabwaja kama kibogoyo lakini nyie Mwashambwa ni dead project for dead system
  5. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kwake ni Muhimu kabla ya 13:08:2026

    Mene Mene Tekeri na Peresi. Aende salama huko Abyss
  6. Msanii

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Tatizo ni upumbavu unawasumbua. Neno kuongoza mnalizungumza as if mmejizaa. Yetu macho tuuone huo mwisho wa dunia bwana zumbukuku
  7. Msanii

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Vikwazo vya misaada haviwezi kufanya kazi

    Hivi ni vibwengo gani walioiomba Marekani iondoe vikwazo juzi hapa? Upumbavu ni vazi la serikali haramu
  8. Msanii

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Wewe ulijuaje family tree yenu?
  9. Msanii

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Hata shetani aliumbwa na Mungu. Kitengo mnahaha sana kufufua marehemu CCM. Poleni lakini endeleeni labda atapiga chafya
  10. Msanii

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Hii sentensi inadhihirisha namna upuuzi unaoitwa DINI ulivyofanikiwa kuua independent thinking capability ya wengi kwenye jamii zetu. Endelea kushika dini ambao imekuja baada ya IMANI
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania Rais Samia unasubiri nini kumfukuza kazi Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, Mwajuma Nasonde, baada ya Kauli ya Waziri wa Afya?

    Wewe ni haramu na unajipa kazi ya kutetea haramu mwenzako. Unaonekana kituko
  12. Msanii

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakanusha kufanya mazungumzo ya siri na serikali

    Samia siyo rais halali Ndo maana haoni soni kuua yeyote anayekosoa utawala wake. She is Jezebel in our era
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Taifa, watu na mali zao ni kipaumbele namba moja Tanzania

    Unaposema TAIFA ni tafsiri pana ya kuitaja CCM. Sisi wananchi hatuna thamani mbele ya walioapa kutulinda. Wanateka, wanatesa wanafira na kuwapoteza wananchi. Ni Taifa gani unalozungumzia? Wanakuja majenerali kwenye media wanasema jukumu lao la kwanza ni kumlinda rais, utegemee akili hiyo iwe...
  14. Msanii

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Inaonesha hapo ndo mwisho wa TISS kutumia akili. Hizi kesi zitangazwe kimataifa ili wanyimwe misaada ya kuwalipa bogus judges
  15. Msanii

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    WHO ARE YOU? Kaza sauti mazeri😀😀😀
Back
Top Bottom