Hizo nguvu zimetumika Kuteka, kutesa, kubambikia kesi, kufira na kuua Watanzania maelfu mpaka sasa.
Maendeleo gani yameletwa na nguvu za rais nje ya Ripoti za CAG?
Huyu mwehu anadhihirisha kuwa CCM ni chanzo kwa mtindio wa ubongo kwa wanachama wake.
CCM imeua watanzania hakuna kukwepa.
Wananchi tunasubiri wakati sahihi wa kuwawajibisha na kuwaadhibu wahusika wote. Kuanzia walioplan, waliotoa maagizo, waliotekeleza na kuhusika na atttocities zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.