Mmejinadi kushinda asilimia 98 na leo chupi zimewabana kutaka maridhiano.
Shetani sehemu yake ni jehanamu ya moto. Cult yenu inasererekea huko.
Utaishia kubwabwaja kama kibogoyo lakini nyie Mwashambwa ni dead project for dead system
Hii sentensi inadhihirisha namna upuuzi unaoitwa DINI ulivyofanikiwa kuua independent thinking capability ya wengi kwenye jamii zetu.
Endelea kushika dini ambao imekuja baada ya IMANI
Unaposema TAIFA ni tafsiri pana ya kuitaja CCM.
Sisi wananchi hatuna thamani mbele ya walioapa kutulinda. Wanateka, wanatesa wanafira na kuwapoteza wananchi. Ni Taifa gani unalozungumzia?
Wanakuja majenerali kwenye media wanasema jukumu lao la kwanza ni kumlinda rais, utegemee akili hiyo iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.