Recent content by Msanii

  1. Msanii

    Swali na ANGALIZO: Je ni mkosoaji huru au ni PROJECT inayopelekwa CHADEMA kimkakati?

    Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama. Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa anayezungumza kwa mamlaka akionesha kukembea na kuonya huku wenye hulka ya majibu ya shombo wakipita mbali...
  2. Msanii

    Ukabila na Nepotism Serikalini: Janga Linalotafuna Utawala Bora na Umoja wa Kitaifa 🇹🇿

    Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa barani Afrika kwa kuwa na umoja wa kitaifa unaovuka mipaka ya makabila zaidi ya 120. Hata hivyo, hivi karibuni kumeanza kujitokeza viashiria vya hatari ambapo baadhi ya wanasiasa wenye madaraka wanatumia nafasi zao kujenga mtandao wa upendeleo unaozingatia asili...
  3. Msanii

    Japo Wengi Wamepania Kumzawadia Mwezi October 2025, Mimi Zawadi Yangu Nimemuaa Kuitoa Mapema, Kusubiria 2025 Will Be Too Little Too Late!

    Naomba kufahamu kosa la Watanzania waliouawa kwa risasi Oktoba 29+ 2025. Kwa nini dola iliamua kuwaua. Huyo mpuuzi unqyetutaka tumheshimu, leta sababu za msingi za kumheshimu muuaji. Usituone maamuma kwamba eti umeandika post kuhusu mauaji ya Mo29 wakati unatujazìa mathread ya pambio za...
  4. Msanii

    Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Tunakopaga kausha damu kwa ajili ya penzi jipya Tukishakula mzigo tupo bize kulipa deni ili tukope tena kwa utamu mpya
  5. Msanii

    Japo Wengi Wamepania Kumzawadia Mwezi October 2025, Mimi Zawadi Yangu Nimemuaa Kuitoa Mapema, Kusubiria 2025 Will Be Too Little Too Late!

    Hahahahah Paskali kaka, sina la kusema. Endelea kumbariki huyo nusu jini mnywa damu za Watanzania
  6. Msanii

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Halafu huyo aggrey ndo yule Kibskuli wa tamthilia?
  7. Msanii

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Wanaume wa Dar tumewakosea nini wazeeiya? Kwani hizi matenite wards zilizojaa pomoni na wajawazito wengine kulala chini, je wanatoka nje ya Dar?
  8. Msanii

    Ushauri: jamii forums ifute kipengele cha reactions.watu tuslike/dislike.

    Unasapoti watu waendelee kuposti ujinga. Reaction ni uwiano mzuri sana wa kufahamu chuya na mchele. Naipongeza JF kwa kuongeza reaction ya dislike
  9. Msanii

    Ni maneno mazuri msibani lakini hatuwezi kuacha ipite hivi hivi: Mbowe ni sauti iliyochelewa, au ukweli uliopimwa?

    Msiba wa Mzee Edwin Mtei haukuwa tu tukio la kuaga mwili. Ulikuwa mahakama ya dhamiri ya taifa. Ilikuwa ni mahali ambapo historia, maumivu, hofu, na matumaini vilikutana uso kwa uso. Katika jukwaa hilo, Freeman Mbowe—mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA—alisema maneno yaliyotikisa mioyo ya wengi...
  10. Msanii

    PostGE2025 Godbelss Lema: ACT ni chama kilichopoteza heshima kutokana na uongo wake na kushiriki uchaguzi Oktoba 29

    Mkuu Paskali Usiumie sana pale projects za chama chako zinapoanikwa. Hii hoja yako waambie akina Mwigulu ambao kutwa kuchwa akilini mwao CHADEMA imewajaa na hawaachi kuiongelea. Bias ni tezidume linalosumbua HAKI
  11. Msanii

    Njia nyepesi kwa CHADEMA ni kuomba radhi Watanzania, nothing else

    ....ili wanunue silaha za kutuua, walipane posho kubwa kubwa, waishi kwa anasa... Dawa ni moja tu! Kuwapimia kipimo kile kile wanachotupimia. Wauawe kwa sababu wameua na wanaendelea kuua. CCM ni kansa hivyo lazima ikatiliwe mbali
Back
Top Bottom