Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama.
Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa anayezungumza kwa mamlaka akionesha kukembea na kuonya huku wenye hulka ya majibu ya shombo wakipita mbali...
Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa barani Afrika kwa kuwa na umoja wa kitaifa unaovuka mipaka ya makabila zaidi ya 120. Hata hivyo, hivi karibuni kumeanza kujitokeza viashiria vya hatari ambapo baadhi ya wanasiasa wenye madaraka wanatumia nafasi zao kujenga mtandao wa upendeleo unaozingatia asili...
Naomba kufahamu kosa la Watanzania waliouawa kwa risasi Oktoba 29+ 2025.
Kwa nini dola iliamua kuwaua.
Huyo mpuuzi unqyetutaka tumheshimu, leta sababu za msingi za kumheshimu muuaji. Usituone maamuma kwamba eti umeandika post kuhusu mauaji ya Mo29 wakati unatujazìa mathread ya pambio za...
Msiba wa Mzee Edwin Mtei haukuwa tu tukio la kuaga mwili. Ulikuwa mahakama ya dhamiri ya taifa. Ilikuwa ni mahali ambapo historia, maumivu, hofu, na matumaini vilikutana uso kwa uso. Katika jukwaa hilo, Freeman Mbowe—mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA—alisema maneno yaliyotikisa mioyo ya wengi...
Mkuu Paskali
Usiumie sana pale projects za chama chako zinapoanikwa.
Hii hoja yako waambie akina Mwigulu ambao kutwa kuchwa akilini mwao CHADEMA imewajaa na hawaachi kuiongelea.
Bias ni tezidume linalosumbua HAKI
....ili wanunue silaha za kutuua, walipane posho kubwa kubwa, waishi kwa anasa...
Dawa ni moja tu!
Kuwapimia kipimo kile kile wanachotupimia. Wauawe kwa sababu wameua na wanaendelea kuua.
CCM ni kansa hivyo lazima ikatiliwe mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.