Recent content by Msanii

  1. Msanii

    PostGE2025 Viongozi wa vyama 13 vya upinzani wapinga kuundwa kwa tume kutoka nje ya nchi ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

    Wanaogopa yes. uchunguzi wa kweli ukifanyika wataanikwa uhusika wao kwenye hayo mauaji na huu utekaji unaoendelea nchini
  2. Msanii

    Hivi ndivyo porno ya bure bure, video za muziki wa utupu utupu na challenge za tik tok zinavyoharibu watoto wetu

    Wanafunzi wa shule gani Mkoa gani Una maoni gani? Ninachokiona hapa ni delibaration yako ya kusambaza picha zisizo na maadili maana hata ulichoandika hakina mantiki kwa jamii
  3. Msanii

    Wasifu wa Naibu Waziri wa Ajira Eveline Munisi

    Mtuwekee na CV ya mteuzi wake.... Pipa na mfuniko
  4. Msanii

    Swali na ANGALIZO: Je ni mkosoaji huru au ni PROJECT inayopelekwa CHADEMA kimkakati?

    Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama. Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa anayezungumza kwa mamlaka akionesha kukembea na kuonya huku wenye hulka ya majibu ya shombo wakipita mbali...
  5. Msanii

    Ukabila na Nepotism Serikalini: Janga Linalotafuna Utawala Bora na Umoja wa Kitaifa 🇹🇿

    Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa barani Afrika kwa kuwa na umoja wa kitaifa unaovuka mipaka ya makabila zaidi ya 120. Hata hivyo, hivi karibuni kumeanza kujitokeza viashiria vya hatari ambapo baadhi ya wanasiasa wenye madaraka wanatumia nafasi zao kujenga mtandao wa upendeleo unaozingatia asili...
  6. Msanii

    Japo Wengi Wamepania Kumzawadia Mwezi October 2025, Mimi Zawadi Yangu Nimemuaa Kuitoa Mapema, Kusubiria 2025 Will Be Too Little Too Late!

    Naomba kufahamu kosa la Watanzania waliouawa kwa risasi Oktoba 29+ 2025. Kwa nini dola iliamua kuwaua. Huyo mpuuzi unqyetutaka tumheshimu, leta sababu za msingi za kumheshimu muuaji. Usituone maamuma kwamba eti umeandika post kuhusu mauaji ya Mo29 wakati unatujazìa mathread ya pambio za...
  7. Msanii

    Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Tunakopaga kausha damu kwa ajili ya penzi jipya Tukishakula mzigo tupo bize kulipa deni ili tukope tena kwa utamu mpya
  8. Msanii

    Japo Wengi Wamepania Kumzawadia Mwezi October 2025, Mimi Zawadi Yangu Nimemuaa Kuitoa Mapema, Kusubiria 2025 Will Be Too Little Too Late!

    Hahahahah Paskali kaka, sina la kusema. Endelea kumbariki huyo nusu jini mnywa damu za Watanzania
  9. Msanii

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Halafu huyo aggrey ndo yule Kibskuli wa tamthilia?
  10. Msanii

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Wanaume wa Dar tumewakosea nini wazeeiya? Kwani hizi matenite wards zilizojaa pomoni na wajawazito wengine kulala chini, je wanatoka nje ya Dar?
  11. Msanii

    Ushauri: jamii forums ifute kipengele cha reactions.watu tuslike/dislike.

    Unasapoti watu waendelee kuposti ujinga. Reaction ni uwiano mzuri sana wa kufahamu chuya na mchele. Naipongeza JF kwa kuongeza reaction ya dislike
Back
Top Bottom