Wanafunzi wa shule gani
Mkoa gani
Una maoni gani?
Ninachokiona hapa ni delibaration yako ya kusambaza picha zisizo na maadili maana hata ulichoandika hakina mantiki kwa jamii
Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama.
Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa anayezungumza kwa mamlaka akionesha kukembea na kuonya huku wenye hulka ya majibu ya shombo wakipita mbali...
Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa barani Afrika kwa kuwa na umoja wa kitaifa unaovuka mipaka ya makabila zaidi ya 120. Hata hivyo, hivi karibuni kumeanza kujitokeza viashiria vya hatari ambapo baadhi ya wanasiasa wenye madaraka wanatumia nafasi zao kujenga mtandao wa upendeleo unaozingatia asili...
Naomba kufahamu kosa la Watanzania waliouawa kwa risasi Oktoba 29+ 2025.
Kwa nini dola iliamua kuwaua.
Huyo mpuuzi unqyetutaka tumheshimu, leta sababu za msingi za kumheshimu muuaji. Usituone maamuma kwamba eti umeandika post kuhusu mauaji ya Mo29 wakati unatujazìa mathread ya pambio za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.