natafuta mfanya kazi wa ndani,naishi arusha awe wa kike umri kuanzia miaka 16 na kuendelea,,mshahara ni maelewano kazi zake kuu ni usafi wa nyumba na vyombo,,kufua.mtoto aliepo ni mwenye umri wa miaka 8 na anasoma darasa la pili,,kwa yyt alie nae Au anaehitaji atume sms kwenye namba 0787803577