Recent content by Msaliboko

  1. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mungu Mwema wakuu baada ya Kunywa PEP mwezi mzima nimepima hii mara ya Sita sasa ndani ya mwezi nipo NEGATIVE. Nawashauri Washkaji zangu tule kimasihara Ila Ndomu NI muhimu Sana au Mafuta Kwa wingi aisee Katika Begi lako hivyo vitu usikose.. Mimi kama sio Mafuta Leo ningekuwa kwenye gridi Moja...
  2. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    WAKUU HABARI ZENU.. MUNGU MWEMA.. TANGU JANA NIMEFIKISHA MASAA 24 TOKA NIKUTANE NA MWANAMKE MWENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI. TAYARI NIMESHAANZA KUNYWA PEP TOKA JUZI.. KIUKWELI HIZI DAWA NDO MARA YA KWANZA KUNYWA KAMA WATU WANAVYOSEMA KWELI ZINAMAUDHI SANA ILA SIJUI KUOTA NDOTO MBAYA...
  3. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Anajibu hivi
  4. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji1787][emoji1787]
  5. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sina michubuko yoyote pia tulitumia mafuta so najiamini kwenye hilo
  6. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Yes nilimwandaa but Mimi mwenyewe nilivurugwa nilivyojua nimetembea na mwenye maambukizi
  7. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    NIMESEMWA SANA NA MADOKTA YAANI NIMESEMWA KAMA MTOTO AISEE WANACHO NILAUMU KWA NINI UPIME BAADA YA TENDO WAKATI ILITAKIWA KABLA YA TENDO. KIJISAHAU KUPO NDO NILICHOJITETEA NAJUTA AISEE UNASEMWA HUKU UNAPEWA NA ELIMU YA DAWA PEP HAHAH NAONDOKA NACHEKA ILA MOYONI SINA AMANI KABISA WAKUU...
  8. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Dah kama yupo sawa Tu liwe funzo kwa wengine Wakuu.. tuwapime kabla ya tendo
  9. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kalia sana.. nilihisi ananifia lodge.. anasema yeye ajijui na mara ya mwisho kupima mwezi wa 6 Mwaka jana
  10. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    NIMEPEWA DOZI MOJA YA LEO USIKU KAANDIKA (TLG) SABABU NIMEENDA JIONI SANA NA SIJUI DATA WAMEFUNGA.. SO KESHO ASUBUHI NAENDA KUCHUKUA VIDONGE 29 VILIVYOBAKI.. KANIELEZA PIA MAUDHI YAKE KASEMA NIJIANDAE KWA LOLOTE. NIKIRUDI NYUMBANI NAENDA KUOSHA UUME NA SPIRIT AISEE ANASEMA VIZURI UKIVIWAI MAANA...
  11. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hatari sana
  12. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Picha nimeweka hapo ila Jamiiforums sijui vipi
  13. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Habari zenu, Wataalam nimekutana na mkasa huu saa moja lilopita navyoongea sasa nipo Hospital nachukua dawa za PEP, Mungu Mwema naamini sijapata. Jana Katika mishe mishe zangu nilikutana na demu mmoja mdogo sana anaitwa Frida, katika chatting zetu alisema ana mtu wake ila nikamuomba tunda by...
  14. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sawa Mkuu Mungu aniongoze Katika hatua zake[emoji120]
  15. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wataalam nina kisa kimoja hiko.. nilikula sister wa kanisani.. kwenye kuomba msamaha kwa Mungu nafsi inasema ili niwe Huru hii Siri niitoe kwa watu wajue na Moyo wangu utakuwa na Amani.. hiyo Dhambi nilifanya 2021 seminari nipo malezi sasa nimerudi parokiani kwangu ndo nakutana na huyo sister...
Back
Top Bottom