Mungu mkubwa, jitihada ziendelee hasa kuimarisha maeneo ya mipakani, viwanja vya ndege, na kwenye maghati ya meli ili kudhibiti maambukizi
Heko Makonda
Kuletwa sampuli haimaanishi kwamba wagonjwa wameongezeka kwa kuwa vipimo ndivyo huzungumza - hata baadhi ya mikoa wapo suspects ambao wako Karantini, wanachukuliwa sampuli yet hatuwezi sema ni wagonjwa.
Hata hivyo sipingani na wengi wenu juu ya umuhimu wa kuchukuwa tahadhali kwa ugonjwa huu
Amegawa shilingi ngapi kwa hesabu?
(i). Mbunge wa kuchaguliwa jimboni ana fungu la maendeleo ya jimbo;
(ii). Mkuu wa Wilaya ana fungu la Political Vote kwa mwaka tshs 5M - hizi huzitumia kusaidia maendeleo kwa jamii na misaada;
(iii). Mkuu wa Mkoa ana fungu la political vote kwa mwaka tshs...
Nadhani RC angeitisha kikao cha ndani kati ya Mhe Jaji Mfawidhi na Mkurugenzi kisha hili wangejadiliana pamoja afu finally ange-cement kwa kila anachoamini
My additional:-
Hongera JPM, hata wanaokutukana umewalipia faini kisha wameachiwa toka gerezani - endelea kutumia busara hizo ktk mambo mengine ili dunia ishuhudie namna ulivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.