FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL...
Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na wanaoweza kufanya kazi kwa umoja.
Tuna ofisi zetu sehemu mbali mbali kama...
habari za asubuhi ndugu zangu
na shida na simu yangu toka jana nikiweka line ya tigo inaandika emergency calls only, nikiweka line nyingine inafanya kazi, na pia nkiweka line yangu kwenye simu nyingine inafanya kazi vzry.
anaeweza nisaidia jaman hapo shida inaweza kuwa nini.
halotel ipo poa mkuu popote kitu kinatembea mpka 4mb/sec, kipindi kile 18GB usiku pack me nashusha mzigo mpka wa 16GB na badoo ukiangalia time iliotumia 3hrs to 4, tigo inachagua hata town hapa hapa sio kila sehemu ina speed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.