pole sana bro ila kosa kubwa hapo ni kwamba huyo tayari ni mwanafunzi wa chuo tena Dodoma ambapo mji unaokua
pili mna mahusiano ya mbali halafu isitoshe chuo kuna interactions na watu wengi tofauti huwezi jua tayari keshapata linjemba ambalo kinampenda au tayari huyo msichana kafall kwa...
doh... mwaka mzima mnagegedana hujajua tu kua ni govinda au laa...
maana kwa mapenzi ya sasahivi mda wa kulana tunda lazima mtomasane vilivyo kwa mwanamke kuchezea na kuushika mti nyama wa mpenzi we wengine huunyonya pia je ww hujawahi hata kuushika au kuunyosha uweze kujua?
au ndo yale...
toa msimamo kama mwanaume au cha msingi fanya kwanza uchunguzi ujue kama wanakulana au laa
ila kwa ushauri kama unampenda sana mkeo na huna uwezo wa kumuacha basi acha kujiumiza kwa kufatilia kwas2hata ukija kujua kama wanapigana mambo hutoweza kumuacha maana utajipa stress tu
ila kama una...
labda ww una umri gani tuanzie hapo..
isije ikawa ni 15yrs unawaza kuoa hapo lazima usielewe kitu ila kama ni 30+ swala la kuoa au kuolewa kwako si la kujiuliza tena ila kulifanyia maamuzi
mada na habari husika haviendani... anyway hapo mwenye makosa ni huyo mwanamke
wanawake ni viumbe wa kuishi nao kwa akili sana wanaweza wakakufanya ukaishi nyuma ya nondo
mkuu ungekua karibu ungekula banzi kwanza ili turestore mafile kidogo halafu tungeendelea na mazungumzo (jokes)
haiwezekani uteke attention kiasi hiki halafu mwisho uwe si sawa na makusudi ya kichwa cha habari haha...
NB. hii yote ni fasihi naona umeitendea haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.