Recent content by Msaga mashine wa kijiji

  1. M

    Katika Kutongoza, tuambiane tu ukweli kaka zangu. Bila chuki wala nini mna fail sana

    Dah..! Hapa acha nipite kimya kwanza.. Maana mie mwenyewe sijuagi kabisa kutongoza ila sijui huwa nawapataje mademu.! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Mtoto wangu nitamuita Ruge

    Dah..! Bora huyo mtoto msimpe jina tu akue hivyo hivyo..! Maana majina mengine duh..! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Kama jinsia ya kiume hili jambo linanitesa mno; nina tabia za kike

    We unasubiri nini wenzako wahongwa mpaka majumba na magari! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Duh.! Hapo ndipo nnaposhindwaga kuwaelewa serikali yetu kwa nini website zao huwa zinasumbua hivi.! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Kila chsti nimeweka mfumo wa PDF ukubwa kwa cheti ni KB 300 nyingine mpaka KB 250 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Habarini za siku wanajukwaa. Naomba kuuliza hivi kuna yeyote ambaye mpaka sasa amefanikiwa kufanya application za ajira za waalimu kupitia website ya Tamisemi ? Maana mie tangu juzi nahangaika sijafanikiwa natumia laptop na internet iko speed nzuri tu sehemu nilipo ila tatizo nikifika sehemu ya...
  7. M

    Ukweli unauma ila huu hapa..!

    Kweli mkuu kuchapiwa siri ya ndani Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Mkasa Wa Kweli kunitokea

    Una bahati sana wangegundua kuwa umo ungeambulia kifiro! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Ukweli unauma ila huu hapa..!

    Kumekuwa na mada mbalimbali zinazozungumzia usariti katika mapenzi/ndoa huku kila upande (Me/Ke) wakilaumu kuwa wenzi wao sio waaminifu. Tukiachana na hilo kumekuwa na kundi la baadhi ya wanaume kuamini kwamba mwanamke aliyeolewa bikra huwa ni mtulivu kwenye ndoa! Imefikia mpaka kwenye baadhi ya...
  10. M

    Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

    Weye usiguse muke ya mutu lakini elewa kuna guys watagusa na kumtafuna muke yako.! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

    Alikuwa na bikra ipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

    Nimependa hapo mwishoni tu "Maendeleo hayana chama" Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

    Ngoja npite kimya Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Hivi wanaume kama huyu wanapatikana wapi?

    Nipo hapa mama hata Mimi nilikusubiri wewe tu.
  15. M

    Siri ambayo ungependa kuifahamu

    Ni kwa nini mpaka leo tunatawaliwa na ccm.?
Back
Top Bottom