Recent content by Msafiri007

  1. Msafiri007

    Kwanini baadhi ya 'secretary' wengi hawaolewi?

    basi waume zao wanapaswa kuwa waelewa,na c kuibua migogoro isiyo na maana au kuwahis tofaut.
  2. Msafiri007

    Kwanini baadhi ya 'secretary' wengi hawaolewi?

    hata kama mm nimeshaw kuwa nao, swala ni kwann ipo hivyo?
  3. Msafiri007

    Kwanini baadhi ya 'secretary' wengi hawaolewi?

    Kuna tatizo sana la mausiano kwa ma secretay, (si wote) wengi huwa hawaolewi pamoja na wengi wao kuwa warembo haswa na hata walio katika ndoa zao nyingi huwa zina mgogoro wa hapa na pale sasa tatizo huwa liko wapi? Ebu tupia mchango wako hapo unachojua.
  4. Msafiri007

    Changamoto ya kupata mke

    kuna mmoja yupo poa xna kaa secretary sehem, ila umeshanunu hata kaa vits nikulengeshe, maana anapenda vigar venye kiyoyozi kwel.
  5. Msafiri007

    Kwa matukio haya, hivi bado kuna watu wanatoka na wasichana wa chuo?

    mimba hawashiki na ukiwaletea swaga za unataka mtoto utaleya mimba hewa na ukileta kelele ujue kamata mwiz inakuhusu.
  6. Msafiri007

    Kwa matukio haya, hivi bado kuna watu wanatoka na wasichana wa chuo?

    kinachotuponza ni upatikanaji wao, Yaan mabinti wa chuo unatongoza asubuh jion analala na wewe, Ni warahis kupitiliza yaan wee acha tu.
  7. Msafiri007

    Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

    Huyo na shoga yake watakuwa kuna ukweli wanaficha, Na iskute mshikaji alikuwa ananyanyaswa xna.
  8. Msafiri007

    Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

    dua la kuku, wanawake yakwao hutaka yajulikane kuwa wananyanyaswa lkn hapo lzm kuna ukwel unafichicka wanawake wenye kaz na vijisent wee waone kwa nje tu ingia ndan uwafaham kiundan hutaongea hivyo.
  9. Msafiri007

    Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

    Hapo ukwel utakuwa huyo bektatu ni bikra mshikaj akanogewa, lkn upande wa pili kuna mambo pia mshikaj atakuwa alikuwa anatendewa ambayo alikuwa hayafurahii akaona bora aish maisha ya shida ila moyon ana aman. c wote ila wanawake wenye ajira na wameshapata mtoto asilimia 90 huamishia upendo kwa...
  10. Msafiri007

    Nihukumu mimi: Nimemuacha mpenzi wangu kisa ni msomi, sasa najuta

    Kuna vitu vinapingana ktk akil yako ndiyo mana hata ulichokieleza hakieleweki.
  11. Msafiri007

    Mwanamke wangu anachat mda wote

    chukua cm uondoke nayo, akupigie yowee la mwizi then uje ulete mrejesho hapa.
  12. Msafiri007

    Ninatamani sana niwe naye lakini tayari ana mpenzi wake

    Kati ya majipu yanayowasumbua watiz ni mausiano, hil nalo jipu?
Back
Top Bottom