Recent content by Msafie

  1. M

    Falsafa ya R4 itumike kutatua changamoto ya utoaji wa mafao baada ya kustaafu

    R4 itumike kutatua changamoto ya kikokotoo
  2. M

    SoC04 Mikakati bora yenye kujali maslahi ya waajiriwa pamoja na wastaafu

    MIKAKATI BORA YENYE KUJALI MASLAHI YA WAAJIRIWA PAMOJA NA WASTAAFU. Utangulizi Tanzania, inakabiliwa na changamoto nyingi katika kuhakikisha maslahi bora kwa wafanyakazi na mikakati endelevu kwa wastaafu. Maslahi bora kwa wafanyakazi ni muhimu katika kujenga nguvu kazi yenye furaha na motisha...
  3. M

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Mikakati thabiti inayotekelezeka ya kupunguza tatizo la ajira hapa nchini

    UTANGULIZI Changamoto ya ajira hapa nchini imekua tatizo linalokua kwa kasi huku vijana wakiwa ni waathirika wakubwa. Hivyo serikali iweke mikakati madhubuti itakayotokelezeka haraka ili kupunguza changamoto hii. Katika mada hii tutaona mambo mbalimbali yanayochangia ongezeko la ukosefu wa ajira...
  4. M

    SoC04 Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika ndani ya miaka 25 kwa lengo la kukuza uchumi

    TANZANIA KUA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA NDANI YA MIAKA 25 KWA LENGO LA KUKUZA UCHUMI. UTANGULIZI Tanzania ni nchi ambayo imepakana na Bahari ya Hindi upande wa mashariki mwa Afrika na kuzungukwa na Nchi nyingine nyingi upande wa Kaskazini, Magharibi na Kusini ambazo kwa miaka mingi zimekua...
  5. M

    TAFAKARI MUHIMU YA SIKU

    KAMA LEO INGEKUA UCHAGUZI MKUU UNGEFANYA UAMUZI GANI?? DONDOSHA COMMENT ZAKO HAPA CHINI.
  6. M

    Aliyemwelewa Kipanya Hapa Atie Neno!

    Nani asiye mjua 2a kijani hapo ni akina nani
  7. M

    Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

    Siku hizi hakuna majambazi bali watu wasiojulikana watakua wamemsikia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. M

    Hospitali ya Nairobi anakotibiwa Lissu wapokea hela kutoka Tanzania

    Hii post inapotosha iko kwenye muungwana, et pesa zimetumwa tangu agost 20 wakat tukio limetokea sept 7
  9. M

    Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

    Wangeambatanisha tt ya bank sasa, hatutaki maneno tu weka evidence
  10. M

    Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umewakamatia mahali pake
  11. M

    Zitto Kabwe: Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge

    Zitto Kabwe ajitetea kwa hoja 10 mbele ya kamati Maelezo ya ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto (Mb), mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati, Mnano tarehe 13 Septemba, 2017 nilipata wito wa kufika mbele ya Kamati yako kutoa ushahidi wa...
Back
Top Bottom