Mkuu kwa upande wangu nimekuelewa kabisa. Nimekumbuka 2020 supervisor wetu alitutangazia staff mwezetu kaazimwa na taasisi fulani. Ila jamaa alienda mazima hadi leo.
Umesema uzoefu wako unaonyesha kibali uchukua miezi 6 hadi mwaka mmoja. Je, barua ya kukubaliwa taasisi X haiwezi kuexpire na wao kuamua kumpa nafasi mtu mwingine?
Hela siyo shida. Shida uaminifu na shukurani kama washikaji.
Mimi leo mshikaji kaja ofisini kanidai elfu 5 yake ambayo alinipa mwezi wa 5 tukiwa tunakula bata. Ilhali tukiwa wote mizunguko,namlipia nauli hata tukiwa chimbo akilewaa mimi namkokota kwenda nyumbani. Nimeshangaa sana elfu 5 tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.