Recent content by Msafa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu kwa upande wangu nimekuelewa kabisa. Nimekumbuka 2020 supervisor wetu alitutangazia staff mwezetu kaazimwa na taasisi fulani. Ila jamaa alienda mazima hadi leo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kazi ipo kubwa sana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Tuendelee kuomba kwa Mungu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Umesema uzoefu wako unaonyesha kibali uchukua miezi 6 hadi mwaka mmoja. Je, barua ya kukubaliwa taasisi X haiwezi kuexpire na wao kuamua kumpa nafasi mtu mwingine?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukifika miaka 70, ni heri uishi mjini au urudi kijijini?

    Bora ujisogeze nje ya mji. Mjini utakuwa mpweke. Rika lako halipo, makelele ya vijana huwaambii kitu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    "kama unasubiri ajira kutoka PSRS"😂😂
  7. M

    JamiiForums Tanzania Coca-Cola: Kutoka Dawa Hadi Kinywaji Kinachotambulika Duniani

    Sijui kwanini siku hizi kwenye machimbo ya chipsi watu hawazichangamkii kama zamani?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Wewe umepata?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Nilifikiri wana hela sana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Je, kuna hali ya kutoboa kwa maombi ambayo yamekaa muda zaidi ya miezi 5 utumishi?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Kazi ipo hapa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mtu mliezoeana anapokubadilikia ghafla kwajili ya pesa, ndipo unapogundua si kila tabasamu lilikuwa la kweli. Nimevunja rasmi mazoea ya miaka miwili

    Hela siyo shida. Shida uaminifu na shukurani kama washikaji. Mimi leo mshikaji kaja ofisini kanidai elfu 5 yake ambayo alinipa mwezi wa 5 tukiwa tunakula bata. Ilhali tukiwa wote mizunguko,namlipia nauli hata tukiwa chimbo akilewaa mimi namkokota kwenda nyumbani. Nimeshangaa sana elfu 5 tu...
Back
Top Bottom