Recent content by Msafa

  1. M

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Huyo ni mkuu wa idara. Kamcheck ofisini aingie kwenye mfumo then approve. Akishafanya hivyo ndiyo inaenda final destination TAMISEMI Au UTUMISHI kufuatana na aina ya maombi yako.
  2. M

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    PUSS 4.1 ni Laboratory Scientist Au wale Instructor II. Wao ni bachelor degree. Siyo TA.
  3. M

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Mimi ESS inasoma UTUMISHI karibia mwezi sasa
  4. M

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Msaada mwenye kujua PUSS 4.1 sawa na shillingi ngapi?
  5. M

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Mkuu umefanikiwa kupata kibali cha uhamisho kupitia ESS?
  6. M

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Aliyepata kibali cha uhamisho kupitia ESS anipe uzoefu
  7. M

    Phone4Sale Nauza nokia 106 rejareja na jumla

    Siku hizi kupata Nokia original imekuwa kazi sana. Hizi za sasa uki save namba ya mtu na jina lake halafu akakutumia sms. Ukifungua sms unakuta namba tu jina lake halipo. Nyingi hazina vibration kama zile za zamani.
  8. M

    Dhambi alioifanya mzee 2002 karma naitumikia mimi leo

    Kuna Mzee alikuwa anaishi na mkewe safi tu. Akamchukua mshikaji waishi nae. Mshikaji akatembea na mke wa Mzee kama haitoshi wakatoroka kwenda mkoani. Mzee alilia sana. Mwisho akachana nao waendelee na maisha Yao. Mwaka jana Desemba jamaa akiwa katika harakati zake za kunyandua demu uchochoroni...
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu awasaidie wote mnaotafuta ajira.
  10. M

    Hivi kusaidia wazazi wa aina hii ni lazima?

    Pamoja na madhaifu ya mzazi wako msaidie tu. Chukulia kama funzo la kujifunza mwenyewe. Mzee wangu hakutaka msikiliza mama wajenge hata Mimi nilipokuwa darasa la 3 niliwahi mshauri ajenge lakini hakunisikiliza. Sijali madhaifu yake aliyofanya enzi za ujana wake. Nimechukua jukumu la kupambana...
  11. M

    Naomba ushauri wa kozi ya kujiendeleza

    Mkuu samahani. Take home yake kwa mtu mwenye HESLB na makato ya Kodi , bima nk inabaki ngapi?
Back
Top Bottom