Mheshimiwa wetu kamkasikia mwenye kijiji kama mafarisayo walivyomkasirikia yesu kwenye masinabogi,ama kweli ukweli unauma,Mh wetu 0 mwanakijiji 3,huree mwanakijiji.
Hoja alizozitoa mzee mwanakijiji zina uzito wake ,lakini pia mzee Tuipende inchi yetu yeye pia kwa ufafanuzi wake nampa zake,Nnasema hivyo nilikiwa na maana, Mfano mzuri ni kwa zile nchi zetu za ugaibuni watu walio shika nyazfa za juu wengi wao ni wazungu kwa sababu baba zao ndio walio anzisha...
Hoja alizozitoa mzee mwanakijiji zina uzito wake ,lakini pia mzee Tuipende inchi yetu yeye pia kwa ufafanuzi wake nampa zake,Nnasema hivyo nilikiwa na maana, Mfano mzuri ni kwa zile nchi zetu za ugaibuni watu walio shika nyazfa za juu wengi wao ni wazungu kwa sababu baba zao ndio walio anzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.