Recent content by Msaa

  1. M

    Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

    Duuu H kitambo hii mambo🤣🤣 apeleke polisi tu watamsaidia kujua thamani🤣😃😃
  2. M

    Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

    Umesema kweli kabisa yani ukiingia Dar cha kwanza ni harufu za hovyo za uchafu mitaro michagu imekua kero watu wanachuruzisha maji machafu yanayotuama kwa muda mrefu
  3. M

    Ukionewa ni sahihi kushika bunduki na kuingia mtaani kuua watu?

    Wewe endelea kushanga lakini kanuni ipo hivyo haina kupindapinda muhimu acha kudhulumu haitakukuta
  4. M

    IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

    Jifunze kuandika kunakostahili kuweka H unaweka A kwenye A unaweka H halafu unajifanya mjuuuuzi popma moja
  5. M

    Muwe makini na ATM card zenu, kashalizwa mtu Milioni 28

    Kwa kuongezea msipende kuomba msaada kwa mtu usiye mjua unapokua kwenye ATM Kama hakuna mtumishi wa benki bora ukaingia ndani kuomba kusaidiwa kama umekwama kutumia kadi yako matapeli wapo wengi kwenye ATM Wanavizia ujichanganye tu wanakupiga tukio
  6. M

    Simba timu ya wazalendo kutwaliwa kwa bei chee, January Makamba mwenye ndoto za urais ni mshauri mmojwapo wa Mo Dewji

    Kwani ile asilimia 51 mnaifanyia nini mpaka sasa mpaka mumlaumu aliyeweka b20
  7. M

    Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

    Wakati mwingine uchumi ni tatizo unataka umpe pesa ukicheki mfukoni unabalance ya mkate tu kwa mangi unaitoaje si kila anayendesha gari anaweza kuwa na akiba mfukoni.mbaya ni kumtukana na kumdhalilisha.
  8. M

    #COVID19 Rais Samia: Miji mikubwa ya Tanzania tayari imekumbwa na wimbi la tatu la Covid-19

    Ahahah povu.ila kuna watu wanaudhi sana ahahaha
  9. M

    Ni nani aliyewaambia na kuwadanganya Wamisri kuwa wana umiliki wa 87% ya maji yote ya Mto Nile?

    Ahahaha na kweli hao ni maswahiba barabara kimaslahi misri yupo tayari kufinga mipaka yote wakimbizi wa kiarabu wasiingie lakini sio kuwaudhi israel
  10. M

    Uarabu na Uislamu ni vitu viwili tofauti

    Na hapa huwa nashangaa sana muarabu hajui kuisoma wala kuielewa Quran mpaka afundishwe na kutafsiriwa ijapokuwa ni kiarabu
  11. M

    Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

    kama aliyemteua na kumtengua hajaweka wazi sababu hii tutaita ni ukuda
  12. M

    TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

    Maajabu unakagua magari wakati huna ujuzi wa kuyatenegeneza
Back
Top Bottom