wewe hamnazo.Hao polisi unaosema sio watu, ndani yao kuna baba zako wadogo/wakubwa, kuna kaka/dada zako ,kuna wajomba/shangazi zako. Na ukionana nao unaweka tabasamu loooote ila hapa jf unajifanya kuwa diss
Mimi binafsi nimefurahi wale mapolisi kufa wana roho mbaya maaskari wa Tanzania siwapendiiiiiii!Hivi Watanzania wangapi wanawaona polisi wa Tanzania katika taswira hii, walinzi wa raia na mali zao?
Angeenda kulipua pale Kizuani aue wote kenge wale!Siwapendi Mimi ningekua naweza ningewaroga wote wale wale wehu mbwa kabisa waleHao ni wachache sana,angeua 2,000/=
95%ya maaskari ni washenzi Mimi sijwahi kutana na askari mwenye utu!wana roho mbayaaaaaaa!makatili mala rushwaa nna ushahidi na nachokisema!Askari Mimi akifanyiwa ukatili nafurahi mnooooo!!!tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Sahihi kabisa100%ni wengi tunachuki na polisi ila namna ya kufikisha ujumbe
Mkuu kuuza dhahabu kimagendo ni suala la kukwepa kodi tu, kama huyu mtu anamiliki machimbo huko Chunya kihalali.Chief, umeshasema jamaa alikuwa anauza dhahabu kimagendo kifupi sio raia mwema, kama ilivyo kwa raia wapo wema na wapo wasio wema...hata polisi wapo wema na wasio wema....yeye hakuwa raia mwema kakutana na polisi ambao nao sio polisi wema kwenye dili zao chafu huko mitaani wamedhurumiana....
Mkuu kuuza dhahabu kimagendo ni suala la kukwepa kodi tu, kama huyu mtu anamiliki machimbo huko Chunya kihalali.
Sasa kosa la kukwepa kodi ndio litufikishe huku? Wangapi Tanzania wanakwepa kodi kubwa zaidi yake?
OvyoPolisi ni walinzi wa Raia na Mali zao. Mengine ni changamoto ndogo ndogo kwenye maeneo yao ya utendaji.
Jinga kabisa wewetusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Alishasema hana time na raia... alisema anataka polisi. Watu pekee wangeweza muua ni polisi wanaomrushia risasi huyo HamzaSiwezi kuwazia huyu jamaa aliekaa hapa kitu gani kilikuwa kinaendelea kichwani! Anajaribu kujifanya mdogo kama piriton lakini inashindikana! 🤣 🤣 🤣
View attachment 1908255
Jifunze kuandika kunakostahili kuweka H unaweka A kwenye A unaweka H halafu unajifanya mjuuuuzi popma mojaUna unacho kifahamu mzee, mengine hacha kama yalivyo... Kama kungekuwa kuna back up ya waalifu na mmoja ndio amejionesha pekee...?
Vipi kibaka uliye muona ndani ya uzio wako wa nyumba, lakini bila kujua nje au njiana kuna wengine ambao wapo kumpa msaada kibaka mwenzao... Huku una jidanganya ni huyu huyu hakuna kibaka mwingine au majambazi wengine!?