Recent content by MS Immany

  1. MS Immany

    Tunatumia vigezo gani kupima ukuaji wa Uchumi?

    JamiiForums, Tunasema Tanzania uchumi umekua na unaongezeka Kwa Kasi, Tunatumia vigezo gani kuproval icho kitu ingawajee huku watu wake walia Maisha magumu.? Kila kukicha Pia soma Vigezo vinavyotumiwa kupima uchumi wa nchi na kuona kama uchumi umekua au lah!
  2. MS Immany

    Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

    Walijua wengi siko na Akili lakini kila nikikutana nao wananitegemea kufanya maamzi kwenye shida zilizo kubwa😂😂😂
  3. MS Immany

    Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    Ni kwery lakn mimi naona apo tu chakula tunachokura ndio zinaleta changamoto kubwa lakini ayo yotee yanawezekana Kwa kufuta taratibu chache kama kufanya mazoezi na kupunguza ulaji wa mafuta sana hii apa inaweza punguza kemikali mwilini na kuiweka mwili sawa
  4. MS Immany

    CHADEMA mkajipange vizuri, vinginevyo hiki kilichofeli pakubwa leo kitajirudia tu tena

    Tz titafte amani tu sio kujigamba Kwa maandamano
Back
Top Bottom