FOREX TRADING KWA KIWANGO KIKUBWA NI 'SPECULATION'. HII INATOKANA NA ASILI YA BIASHARA HIYO KWANI 'VOLATILITY' (MABADILIKO YA THAMANI YA FEDHA) NI MAKUBWA NDANI YA MUDA HUSIKA. HIVYO WAFANYABIASHARA WENGI WALIOPO KWENYE FOREX ESPECIALLY WANAOTRADE KILA SIKU (DAY TRADERS) WANAANGUKIA HAPO KWENYE...
UTAMBULISHO KUHUSU UWEKEZAJI
Uwekezaji ni operesheni ambayo baada ya uchambuzi wa kina inaahidi kulinda mtaji pamoja kuleta marejesho (ya kifedha) kutoka kwenye mtaji huo.
Maneno ya kuzingatia hapa ni “uchambuzi wa kina” “kulinda mtaji” na “marejesho”.
Bila vitu hivi vitatu basi operesheni...
Habari wana-Jamii Forums Naitwa Fatma.
Nipo hapa kwa ajili ya kujifunza na kujadili mambo mbali mbali yanahusu fedha, uwekezaji na uchumi. Mbali na hilo napendelea pia mijadala inayohusu maswala ya kijinsia na pia ni mpenzi wa kusoma vitabu. Napendelea mijadala inayolenga kufunzana.
Asanteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.