Kila mstari ulioandika ni kama umenisikiliza nikiongea na shabiki mwenzangu wa utd hapa! its very true, hapakuwa na tishio lolote kwetu kujihami kiasi kile, mwalimu ametufanya kuamin kwamba city ni threat and so tutafte point 1 na matokeo yake tumepoteza
Vingine unasema ukweli lkn basi itoshe kuamini kuwa unavyokosea huvifahamu! Hivi kard Pengo ndiye mkuu wa maaskofu katoliki Tanzania? ndomana naamini huijui vyema hierachy ya kanisa katoliki
EPL wana nafasi 4 tu kufuzu UEFA.. Siku zote mshindi wa EUROPA anafuzu moja kwa moja UEFA msimu unaofuata! Hili ndio limefanya UK wawe na wawakilishi 5 msimu huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.