ni kweli unayosema ndugu lakini unajua kaika mahusiano jaribu kutengeneza mazingira ya kutozoeana ili ahadi zenu zitimie.
binti wa kuoa utamwona ata mwonekano wake, yupo simple, anafahamu maisha i mean hayupo after pesa sana.
tatizo ninyi manatongoza kwa kupitia vitu ka pesa, gari na mali...
huna pepo nadhani hata mapepo yanakushanagaa unayofanyia watoto wako au wadogo zako. ka chini tafiti tokea umeanza hako kauchafu kako umefaidi nini? ka umepata raha ya kukojoa tu basi achana nayo. Mwisho wa siku utatoa povu ili ujui unapata raha au karaha.
pia jaribu kutone akili yako kwamba...
jamani kusingiziwa kupo. usikubali hiyo mimba ka ni kweli ka si yako. ka ni yako binti akisha jifungua mpeleke shule aendelee na masomo ili nae aje kuwa na mwelekeo aweze kumsaidia mchumba mdogo(mdogo wake). pole sana.
jamani me nakaribiwa kuachwa na mpenzi wangu ananiandaa mad mrefu kwa imani ctachubuka but mwisho wa siku goli mbili tu me nimechubuka na ctaki kuendelea coz napata maumivu makali ikiwa inaingia. huu ni mwaka wa tatu sasa tatizo linaendelea tu. mpaka amifikia mahali ameniambia sasa hamu yake...
ni kweli hiyo mimba c yako, akutaka tu kukubebesha mzigo wa mtu mwingine. afu hyo akufai usiangalie wazazi na jamii jiangalie wewe na watoto wako utakapo kuja kupata ni mama anayewafaa kweli?
ushuri wangu achana nae.
tatizo maumbile yenu yanawafanya mnatembea na wanaume waliowazidi umri mnaacha wa umri wenu mda wa kuolewa ukifika umeshatumika na wa umri wako wameshaoa mnabakia kuwa vimada.
=
huwa mnajisikia wazuri pale mnapopita wanuume kuwaangalia sana ilo ni tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.