Recent content by MRS lyimo

  1. M

    Dj Fetty wa Clouds FM ahamasisha punyeto

    yani wewe ka kila sauti nzuri unapika punyeto nadhani mkono wako unasugu.
  2. M

    kijana wa miaka 19 kambaka mzee wa miaka 87

    uchizi mwingi,, au domo zege.
  3. M

    Ebu skia hii!!

    ni kweli unayosema ndugu lakini unajua kaika mahusiano jaribu kutengeneza mazingira ya kutozoeana ili ahadi zenu zitimie. binti wa kuoa utamwona ata mwonekano wake, yupo simple, anafahamu maisha i mean hayupo after pesa sana. tatizo ninyi manatongoza kwa kupitia vitu ka pesa, gari na mali...
  4. M

    Kijana anasurika kifo baada ya kukutwa akibaka mtoto wa miaka 10

    jamani me natamni wangemuua kabisa ni unyanyasaji huu. pumbavu kabisa. akafie jela huyo muuaji
  5. M

    Sijui ni mapepo Au nini! I THINK NINA PEPO LA NGONO.

    huna pepo nadhani hata mapepo yanakushanagaa unayofanyia watoto wako au wadogo zako. ka chini tafiti tokea umeanza hako kauchafu kako umefaidi nini? ka umepata raha ya kukojoa tu basi achana nayo. Mwisho wa siku utatoa povu ili ujui unapata raha au karaha. pia jaribu kutone akili yako kwamba...
  6. M

    Nimelazimishwa kuoa mwanafunzi na sasa najuta kutania

    jamani kusingiziwa kupo. usikubali hiyo mimba ka ni kweli ka si yako. ka ni yako binti akisha jifungua mpeleke shule aendelee na masomo ili nae aje kuwa na mwelekeo aweze kumsaidia mchumba mdogo(mdogo wake). pole sana.
  7. M

    napata mchubuko wakati wa kufanya tendo la ndoa

    unataka picha ya nini? ya huo mchubuko nitakuwa nipo kinyume na maadili
  8. M

    napata mchubuko wakati wa kufanya tendo la ndoa

    me cwezi sema ukoje me naona upo normal. jamani wewe too much information unataka
  9. M

    napata mchubuko wakati wa kufanya tendo la ndoa

    na miaka 25, cjawahi kutumia dawa za uzazi wa mpago
  10. M

    napata mchubuko wakati wa kufanya tendo la ndoa

    jamani me nakaribiwa kuachwa na mpenzi wangu ananiandaa mad mrefu kwa imani ctachubuka but mwisho wa siku goli mbili tu me nimechubuka na ctaki kuendelea coz napata maumivu makali ikiwa inaingia. huu ni mwaka wa tatu sasa tatizo linaendelea tu. mpaka amifikia mahali ameniambia sasa hamu yake...
  11. M

    Ametoa mimba nashindwa kumwacha

    ni kweli hiyo mimba c yako, akutaka tu kukubebesha mzigo wa mtu mwingine. afu hyo akufai usiangalie wazazi na jamii jiangalie wewe na watoto wako utakapo kuja kupata ni mama anayewafaa kweli? ushuri wangu achana nae.
  12. M

    Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

    tatizo maumbile yenu yanawafanya mnatembea na wanaume waliowazidi umri mnaacha wa umri wenu mda wa kuolewa ukifika umeshatumika na wa umri wako wameshaoa mnabakia kuwa vimada. = huwa mnajisikia wazuri pale mnapopita wanuume kuwaangalia sana ilo ni tatizo.
Back
Top Bottom