Recent content by mrs konk

  1. mrs konk

    Wapi nitapata kazi ya malipo ya 5000 kwa siku?

    Pole sana mkuu, ni lazima iwe mwanza.. Je ikitokea nafasi sehemu nyingine jeh mf. Zanzbar utakuwa tayari??
  2. mrs konk

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Yaan wateja wanakuja sema ofa zao ndio ndogo haifiki hata bei niliyonunulia miaka 6 iliyopita
  3. mrs konk

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Kipo Uyole, Itezi Mashariki kabla hujafika nyumbani kwa mh. Spika ila ni jirani . Bei ni mil. 3.5
  4. mrs konk

    Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

    Hii ni kweli aisee nina kiwanja pia nilinunuaga mwaka 2018 kuanzia mwaka juzi nimewakabidhi madalali waniuzie, ofa wanazopata ni pungufu hadi ya ile niliyonunulia... Saa hzi natafuta mteja atakayefika angalau bei niliyonunulia basi nikitoe tuu...
  5. mrs konk

    Hasara na gharama za uchawa

    Habari mkuu samahani najaribu kuja PM naona inanigomea, sijui unanisaidiaje ili tuweze kuwasiliana.... nilikuwa na ishu Private kidogo...
  6. mrs konk

    Watanzania tuchangamkie fursa. Soko la mayai ni kubwa sana

    Angalau ingekuwa elfu 8 ningekuletea ofisini kwako...
  7. mrs konk

    Watanzania tuchangamkie fursa. Soko la mayai ni kubwa sana

    Nilipo mayai yanazalishwa kwa wingi sana....Ofa yako ni shilingi ngap kwa trei moja?? Na unapatikana wapi??
  8. mrs konk

    Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

    Duhh!!! Jitahidi kuwa na akiba ya maneno mkuu, usiyamalize yote huenda yakakusaidia hapo mbeleni
  9. mrs konk

    Wanahitajika watu wa masoko na mauzo

    Wakuu, nawasalimu kwa jina la JMT. Kichwa cha habari hapo juu chahusika. Ninahitaji vijana wenzangu watakaokuwa tayari tushirikiane kufanya kazi kwa kutafuta masoko ya bidhaa zetu ambazo ni mafuta ya kupikia ya alizeti na sabuni za maji (huko mbele Mungu akijaalia tutaongeza bidhaa). Ofisi ipo...
  10. mrs konk

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Yaan huku kumepoa hatari, ile morali kama inaanza kupotea wakubwa
  11. mrs konk

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Dah yaan mkuu umeandika kwa lugha rahisi lakin nimeonja maumivu yako, Tuwe na Imani kuwa maisha yetu tayari yalishapangwa na Mungu hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya... Ni Mungu anaruhusu ili kusudi lake litimie....
  12. mrs konk

    Nahitaji kufahamu bei ya mafuta ya alizeti

    Lita 20 kwa elfu 80, nakamua mwenyewe karibu pm..
  13. mrs konk

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Guys hali ni tete sana mtaan, especially kwa tusio na connection kabisa, sasa JF ndo naiona kama connection yangu, ombi langu kwa wenzetu mliopo chomboni tayari kama kuna namna yoyote mnaweza kutushika mkono au kutulengesha kwa mtu anayeweza kuwa msaada plz msisite kufanya hivyo... Maana ni...
Back
Top Bottom