Recent content by Mrs Dee

  1. M

    Ndugu naomba ushauri akili imestack

    Sio kanda Mi nishashuhudoa wa mbeya Ana gombeza mume wake kama mtoto Dah ni tabia tu ya mtu
  2. M

    Ndugu naomba ushauri akili imestack

    Hata kama sio mtu wa kupiga Dah huyu mwenzetu kazidi aisee Anatabia mbaya zote za kike na za kiume zote mbaya Dah mwizi?? Mcheza kamari ana pigana?? Duh analeaje watoto
  3. M

    Ndugu naomba ushauri akili imestack

    Nilifikiri ni mwanaume unamuelezea kumbe mkeo Dah mbona kazidisha kipimo cha kuvumilia Kwanini ni mwizi na mcheza kamari
  4. M

    Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

    Hii ni mara ya pili bon yai anaandika kuhusu wale vijana wa k.koo watano Waliniuma sana nikaassume ndo kuna mdogo wangu Je kuna mtu anajua lolote kuhusu wale vijana
  5. M

    JKT mbona watu wa degree hamuawachukui mara nyingi wanatoboa mkataba

    Hawatoi ajira kwa degree hata hao tpdf Si umeona tangazo juzi😭😭😭😭
  6. M

    JKT mbona watu wa degree hamuawachukui mara nyingi wanatoboa mkataba

    Aiseee yabid mtu aishie form four tu kwa kweli Maana hizo ada ni mtaji
  7. M

    JKT mbona watu wa degree hamuawachukui mara nyingi wanatoboa mkataba

    Kwa miaka zaidi ya minne mfululizo wale vijana walioko makambini hamuwachukui wenye degree kwa ajili ya ajira Na kama mkiwachukua huwa mnadonoa tu Ila wa form 4 na form 6 ndo mnawa pendelea Hivi majui kwamba mnazidi kuongeza wimbi la jobless wengi wenye degree mtaani tunaomba mliangalie hili...
  8. M

    Msaada wa mawazo tafadhali

    Bei poa kama shingap
  9. M

    Msaada wa mawazo tafadhali

    Nipo dar ila nina acces na masaini huko...eneo linaitwa naibili sanya huko.. Tunanunua na kuuza kwa bei ya chini tena baada ya kukaa nao kidogo.faida sijaiona bado
  10. M

    Msaada wa mawazo tafadhali

    Mbuzi unawanunua wapi?
Back
Top Bottom