Hata kama sio mtu wa kupiga
Dah huyu mwenzetu kazidi aisee
Anatabia mbaya zote za kike na za kiume zote mbaya
Dah mwizi?? Mcheza kamari ana pigana??
Duh analeaje watoto
Hii ni mara ya pili bon yai anaandika kuhusu wale vijana wa k.koo watano
Waliniuma sana nikaassume ndo kuna mdogo wangu
Je kuna mtu anajua lolote kuhusu wale vijana
Kwa miaka zaidi ya minne mfululizo wale vijana walioko makambini hamuwachukui wenye degree kwa ajili ya ajira
Na kama mkiwachukua huwa mnadonoa tu
Ila wa form 4 na form 6 ndo mnawa pendelea
Hivi majui kwamba mnazidi kuongeza wimbi la jobless wengi wenye degree mtaani
tunaomba mliangalie hili...
Nipo dar ila nina acces na masaini huko...eneo linaitwa naibili sanya huko..
Tunanunua na kuuza kwa bei ya chini tena baada ya kukaa nao kidogo.faida sijaiona bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.