Habari za saiz wanajamiiforum, Kwa jina naitwa Martha Christian nasoma chuo kikuu Tumaini Makumira mkoa wa Arusha mwaka wa kwanza, faculty of Humanity and social science(EDUCATION). Natafuta mfadhili au ufadhili kwa mtu kampuni au shirika atakayeweza kunsaidia katika kujisomea elimu ya MASTERS...