Recent content by Mros85/

  1. M

    Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

    Type Amen....wacha maneno!!
  2. M

    Yaliyojiri kutoka mahakamani kwenye kusikilizwa rufaa ya dhamana ya Mbunge Lema, akubaliwa ombi lake

    Sasa kama wameangukia pua, imekuwaje mbunge akarudishwa rumande!!??? na kingine atarudishwa lini mahakaman?? Na je, akirudishwa atapata dhamana!!??
  3. M

    Yaliyojiri kutoka mahakamani kwenye kusikilizwa rufaa ya dhamana ya Mbunge Lema, akubaliwa ombi lake

    Sijakuelewa kwa kweli!! Inamaana anatoka ama rufaa imekubaliwa then Lema anakuwa nje ama anarudishwa rumande???
  4. M

    Yaliyojiri kwenye ukaguzi wa Polisi katika Ofisi za JamiiForums na Nyumbani kwa Mkurugenzi, Maxence

    Watu wameamua kuchagua miguu kuwa mkombozi wao....kila mmoja mbioo
  5. M

    Billionea Davis Mosha

    na mm naomba kama ww mkuu!!
  6. M

    Kili Music Awards: Clouds FM acheni utoto, huu pia ni upumbavu

    umejuaje kama na wewe siyo mmoja wao!!?
  7. M

    Jiji la Arusha lakabiliwa na changamoto ya ugonjwa wa U.T.I

    huenda ni project ya watu wachache ili kupiga mijihela tu coz haiwezekani kukawa na % kubwa kiasi hicho
  8. M

    Watu 10 Mashuhuri waliouawa kwa kupigwa Risasi

    hahahaaaaaa!! kaburudan kidogo kanaruhusiwa bana
  9. M

    Morogoro: Watu 9 wakamatwa Msikitini wakiwa na vifaa vya mlipuko

    nimeuliza tu ya kuwa Mungu wako kafanyaje mkuu!!? au ni vibayaaa?
  10. M

    Morogoro: Watu 9 wakamatwa Msikitini wakiwa na vifaa vya mlipuko

    huwa mnaongoza kwa lugha chafu kwa kisingizio cha kusema mnalinda nchi!!
  11. M

    Mkurugenzi wa TANESCO, Felchismi Mramba: Hakutakuwa na mgao wa umeme

    mgao umeanza tokea jana xo ile ilikuwa danganya toto tu
Back
Top Bottom