Recent content by MREKEBISHARIKA

  1. M

    Lini Frederick Sumaye amejiunga na CHADEMA?

    Aliwahi kusema Mwalimu Nyerere kuwa ili maendeleo ya kweli yawezefikiwa moja ya vigezo vya kuzingatowa ni Siasa Safi na Uongozi bora. Siasa safi niliyoielewa mimi ni pale panapokuwa na uhuru wa kufanya shughuli za kisiasa kwa maana ya kuwa wananchi wana uhuru wa kushiriki siasa kupitia vyama...
  2. M

    Edward Lowassa special thread

    Siku ya udhamini 19/6/2015 mkoani kwa E. Lowassa. Majira ya saa nane, EL ametinga ofisi za CCM mkoa akiambatana na marafiki zake na amekutana na umati mkubwa uliojitokeza kumpokea. YALIYOJIRI: 1. Wakati anaingia ofisini, alishindwa hata kutoa mkono kwa wajumbe wa kamati ya siasa ya mkoa...
  3. M

    Nimesikia la Nchimbi,Muhongo.Vipi la Lowassa,Karamagi na Richmond?

    NIMESIKIA LA NCHIMBI NA MUHONGO, LA LOWASA, KARAMAGI NA RICHMOND LINI? Kwa kipindi kirefu kidogo Chama Cha Mapinduzi kimekuwa katika ombwe la kutafuta WanaCcm Ambao wataweza kupeperusha Bendera kwa ajili ya chaguzi zijazo. Mizozo imekuwapo hasa kutokana na makundi yanayohasimiana ndani ya...
  4. M

    Kikwete hakustahili kofia mbili

    Alianza na KUTENGANISHA KOFIA YA URAISI NA UENYEKITI WA CHAMA akashindwa Akaja na KUHAKIKISHA SERIKALI HAITAWALIKI akashindwa Akaja na KUMNG'OA WAZIRI MKUU akashindwa Sasa amerudi na -KUIKATAA KAMATI KUU -KUHOJI KUTOFAA MWENYEKITI WA CHAMA -KUFUNGULIWA KWA LOWASA TOKA KIFUNGONI...
  5. M

    Ziara ya ghafla ya mgombea edward lowasa

    Leo majira ya mchana ndani ya maeneo ya Musoma mjini mkoa wa Mara tulipata ugeni.Na mgeni huyu sio mwengine ni Edward Ngoyai Lowassa.ilikuwa ni ugeni wa ghafla na kwa kweli kwa ughafla wake tumejionea mengi.Kuanzia afya yake aliposaidia kushushwa na kupandishwa kwenye ndege na pili jinsi hela...
  6. M

    Lowassa, mazoezi ya picha ya nini na unamuonesha nani?

    UKWELI KUHUSU "MAZOEZI" YA LOWASSA Mimi ni Mwandishi wa gazeti la Mwananchi. Wiki mbili zilizopita tulikuwa na mjadala mkali sana kwenye kikao cha uhariri cha kuamua habari kuu za gazeti. Mjadala ulikuwa juu ya picha iliyotumwa na mpiga picha wetu kutoka Dodoma. Kuna baadhi ya wenzetu walitaka...
  7. M

    Nape, Sisi siyo wahuni; Sisi ni Wataka Mabadiliko ndani ya Chama

    Waliwahi sema wahenga kuwa lisemwalo lipo kama halipo laja.baada ya tetesi naona Nape amewafanya mujidhihirishe. Mafisadi wamewatumia mmekuwa wajinga sasa watoa rushwa.vyeo vinagaiwa kindugu, hivi ni kwa kikwete ambao wako bagamoyo tu au hadi wengine.Angalia arusha toka Arumeru hadi...
  8. M

    Hali mbaya UVCCM: Mwenyekiti mpya akodi mabaunsa sita Dar kwenda nao Dodoma!

    Mabaunsa wa chama ujitambulisha kwa sare zao.hawa ni wale wa ukumbi wa disco.nawaona wa billicanas na wengine wa kwa kimbau pale kijitonyama.sidhani kama hawa wana mahusiano na jumuiya ya vijana. Napendekeza sasa itangazwe ajira ya mabaunsa maana vijana wa ccm wamekuwa waregevu na wala...
  9. M

    Hali mbaya UVCCM: Mwenyekiti mpya akodi mabaunsa sita Dar kwenda nao Dodoma!

    Namuona anaingia hapa ukumbi wa bunge.yaani huyu ni kama Raisi.hawa watu wako na mikwara mizito.
  10. M

    Hali mbaya UVCCM: Mwenyekiti mpya akodi mabaunsa sita Dar kwenda nao Dodoma!

    Kwani ule utaratibu wa vijana wa mwenyekiti wao kulindwa na green guard umekufa hadi kiongozi wao achukue mabaunsa? Hizo ni dalili mbaya kwa utaratibu ambao chama hiki kikongwe kimejiwekea.
  11. M

    Waraka wa Kibanda kabla ya kufikishwa mahakamani

    Ukisoma alichoandika kibanda napata shida na Shaka kuamini Kama Mtu mzima kweli anaweza andika haya aliyoyaandika. Nilivyoelewa mimi ni kwamba kama amepatwa na uwoga vile au alikuwa hajuinkuwa muandishi kuandika,wananchi kusoma na vyombo vya usalama,kuuliza kama wanaona yaliyoandikwa...
  12. M

    UDA: Connetion ya Robert Kisena na msharika wake Ridhiwani Kikwete!

    hali zenu wana jamii wenzangu, hebu tuanze jadili mambo hapa. tuweke hadharani haya ambayo mimi na wewe tunayajua kuhusu huyu kijana RIDHIWANI . maana nasoma mengi na yote yanakuwa kama vile maneno ya juu juu. tuandike vitu na kuweka ushahidi mbele. maana kama ni marafiki ridhiwani anao wengi...
  13. M

    Bunge lawaka moto: Lissu, Msigwa na Lema watolewa nje!

    wajukuu zangu hali zenu, kwanza niwakumbushe kitu kimoja, .....HAKI BILA YA WAJIBU, FUJO..................... ni kweli nakubaliana nanyi wana jamii wenzangu juu ya maono yenu kwamba uenda wabunge waliotolewa wameonewa kwa namna moja au nyengine lakini hivi ni kweli, katika maeneo yenye...
Back
Top Bottom