Kama Ask Gwajima ametenda kosa lolote kisheria mpelekeni mahakamani na sio kuja kufunga kanisa hilo hqliwezekani waondoe hao mbwa wako hapo kanisani.Kwa hili halitawezekana
Ni kweli hao askari wataua watu zaidi ya elgu 1?Kwa nn watqnzania kila jambo tunaona halituhusu?Umoja wa makanisa CCT wanatakiwa kuitisha kikao cha dharula na kutoa tamko na kukataa huu ujinga wa seeikali hii kidictator
Kuna neno kufungia na kuzuia shughuli zote za kidini ndqni ya eneo hilo?Kufungia najua kuna hatua kadha wakadha zinatakiwa kufatwa sio kwa dharula kiasi hicho jiomi unawapa barua usiku polisi wqnaenda kuweka utepe waoNadhani hawa punda wa ccm watqtufikisha ambako siko.Zuio la kusanyiko hakuna...
ugunduzi wowote kwa nchi zetu za kiafrika ni laana na sio neema hasa nchi amabzo ufisadi na wizi imekuwa sifa kwa wanasiasa,sehemu nyingi hata tanzania hii hii ,nenda nyamongo,kahama,shinyanga nini wananchi wanapata kama sio kansa kufukuzwa kwenye maeneo yao kwa fidia kidogo huku viongozi wa...
Hizi faact ulizoweka hapa kutoka kwenye katiba ndo dira bahati mbaya Sofia Mgema sijui ndo kulewa madaraka amaekuwa kama mlopokaji tangu amaeingia kwenye uaenezi hana mchango ambao ni chanya kwa chama ,ikumbukwe karibuni alitoa kauli ya bandari haijauzwa kwa maana haijawekwa kwenye kikapu au...
Kama nani?katibu mkuu utumishi au nani sasa ?hizo posho ni hisani au zipo kisheria na huyo RC ametoa wapi mamlaka makubwa hivyo ya kuondoa posho za watumishi
Kati ya mawaziri nishati na wakurungezi wa tanesco shindig hata wajiga wanajua ni Makamba na Maharage wake.Tena wafie mbali sio kwa mateso haya mliosababisha kwa watanzania.
Mlikuja na hoja wakati JPM kulikuwa hakuna serives kumbe saga tu nyambafuuuuu.Kaongeze bei huko TTCl simu sio lazima hasa...
maana yake unaona sawa au unamanisha nn?kiukweli heri tungelikosa umeme kwa sababu zinazoeleweka await Janaury alivyoingia alidai mitambo haina service wakafanya service,tatizo likabaki palepale,wakaja na hoja nyingine hadi rais aka sema tunakosa umeme kwa sababu ya ukaidi wa wanadamu maana yake...
Pale kuna machimbo ya dhahabu,kwa hali ilivyo kule polisi nadhani walikuwa wanaendeleza ule uhuni wao wakutaka mali za watu kwa nguvu.Yale ya mtwara na siku zote hata upeleke taarifa kwa nani hakuna msaada.Anyway tusubiri uchunguzi wao hao hao ambao nadhani ndo change cha tatizo
pia kumbuka makampuni mengi yalikuwa feki na hata kazi zilizokuwa zinafanywa zilikuwa chini ya kiwango sana na value for money haikuwepo .Temea uone hata miradi ya maji nchi hii mingi pesa zilipigwa na wakandarasi wetu wakishirikiana na viongozi wezi ndani ya serikali.Ijapo kiukweli pesa nyingi...
mchambuzi umejaribu kueleza mtazamo wako juu ya siasa .Huku ukitoa maoni linganisha kati ya Lowasa na Lissu.Ila ukweli unabaki pale pale kuwa mzee lowasa alikuwa na mipango sema alizidiwa na mamlaka kwa kuhujumiwa na sioni aibu kusema kuwa hata kura alizozipata Lowasa sidhani kama Tundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.