Mimi ni kijana wa miaka 23 nipo dar ubungo natafta ajira yoyote ambayo itakuwa inaniingizia kipato kwa siku......ili kukidhi mahtaji yangu na familia yangu...
Elimu yangu ni kidato cha sita arts combination(HGK).....
Mwenye uwezo wa kunisaidia ajira contact no 0657373635
Kwa majina naitwa David mathew kanisius. Elimu yangu ni kidato cha sita tahasusi ya HGK.
Mwaka huu ilibidi niwe namaliza katika chuo kikuu cha Dar es salaam ila nmeshindwa kuendelea kwa sababu ya financial problems so nimesimama masomo kwa muda na natafuta kazi yeyote itayoniingizia kipato ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.