Mr Zombie
Member
- Jan 26, 2022
- 83
- 44
Kwa majina naitwa David mathew kanisius. Elimu yangu ni kidato cha sita tahasusi ya HGK.
Mwaka huu ilibidi niwe namaliza katika chuo kikuu cha Dar es salaam ila nmeshindwa kuendelea kwa sababu ya financial problems so nimesimama masomo kwa muda na natafuta kazi yeyote itayoniingizia kipato ili kukidhi mahitaji yangu.
Kwa yeyote atakaejaaliwa kazi nipo tyr namba yangu ya simu ni 0684846544
Mwaka huu ilibidi niwe namaliza katika chuo kikuu cha Dar es salaam ila nmeshindwa kuendelea kwa sababu ya financial problems so nimesimama masomo kwa muda na natafuta kazi yeyote itayoniingizia kipato ili kukidhi mahitaji yangu.
Kwa yeyote atakaejaaliwa kazi nipo tyr namba yangu ya simu ni 0684846544