Recent content by MR xboxtz

  1. MR xboxtz

    Makonda amefanikisha kukamatwa wauza madawa gani?!

    Mimi kwakweli hotuba za mkuu wangu saivi naanza kuzichukulia poa .maana ukiangali wakati mwingine anaongea mambo kama vile utani hivi wakati ni tegemeo la mwelekeo wa nchi.
  2. MR xboxtz

    Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

    Mange ni taasisi kwa sasa.wako watu wengi wanatoa habari kupitia huyo dada.na kwakweli kama unavyo jua ukweli unanguvu kuliko uongo.sasa usishangae hiyo nguvu iliyopo kwa huyo mange.ila ningeshauri kama kunajambo ambalo mange kasema na ni uongo au ukweli basi liweke hapa kwenye forum ili...
  3. MR xboxtz

    Siri ya mwanamke kuombwa gegedo na kuwa mkali

    Haujapata dem hapo.hao ni mabinti rahisi rahisi mtaani.tena wengi hua hawana wanaume kwa muda sana ,na nikwasababu akili zao sio poa ,hawajui neno gani la kuongea kwa mwanaume.tena nenda kitandani ndio utaona alivyo hovyo.kitu cha mwisho hawafai kuoa hao.
  4. MR xboxtz

    Mambo bado mazito majadiliano ya makinikia,Barrick yaongeza wajumbe kukabiliana na hoja za upande wa Tanzania

    Sasa kama mnawashangaa wazungu kua wengi na kujiona waswahili wachache wanaakili sana sasa mbona ,waswahili wameshindwa kuyachimba hayo madini.wenzetu ili kuongeza ufanisi kila kitengo kina mtu wake.hapa bongo vitengo vitatu hadi tano ni mtu mmoja. Ndio maana hatupati mawazo mazuri ya mambo na...
  5. MR xboxtz

    Video games ambazo mpaka sasa nimeshacheza

    Dtu 1&2 niko poa kwenye ps3 hata xbox ,ila ni games za kitambo sana. In shirt game yoyote kwangu unaweza pata
  6. MR xboxtz

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Mshana unauhakika wale vijana wanadhambi kibao.au majumuisho yako ya kimawazo?
  7. MR xboxtz

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Hauwajui wasabato wewe.unadhani hao ni walokole fuata upepo.hao vijana watarudi chuo na hiko chuo kitaacha ujinga huo mara moja.
  8. MR xboxtz

    Video games ambazo mpaka sasa nimeshacheza

    Mimi nafanya crack za ps3 &xbox 360.njoo nikuuuzie mashine uitakayo kwa kucheza games.pia utapata ps4 na xbox one
  9. MR xboxtz

    Naomba kujua majukumu ya Mbowe kule Kenya

    Hili tukio ni assassination.sasa nashangaa unapo ulizia mwenye nyumba wakati kuna mafuliko.hivi kukitokea mafuliko mwenye nyumba atamwachia kijana wake ?
  10. MR xboxtz

    Maajabu: Hii midoli ya kufanyia mapenzi imekaa vipi ndugu zangu?

    We hauoni tabu tunazo pata na hawa wanawake ?sina pesa ningelinunua moja likaniliwaza
  11. MR xboxtz

    Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

    Aibu ,mungu akitaka kukuaibisha hutumia style za ajabu sana.yani mpaka mwaka huuu uishe jamaa atakua kaloa tepetepe kwamatendo yake maovu
Back
Top Bottom