Hii kitu kwetu ipo
Iko hivi... Nikiwa mdogo baba yangu (alikua mwl) alihama na sisi kutoka sehemu alipokua anafanya kazi na kumfuata baba yake (babu) katika wilaya nyingine. Lengo la kumfuata lilikua ni kumuhudumia kutokana na uzee wa baba yake. Lakini pia inasemekana kuwa yule babu alishasema...
Hesabu ya bajaj kwa siku bila mkataba ni tsh elfu 20 kwa siku na wwtu wanafanya hivyo miaka na miaka. Iweje ushindwe kuvumilia miaka 2 halafu bajaj iwe yako?
Sio kwamba nataka uhusiano usio na dosari, nafahamu kuwa hilo haliwezekani. Nataka mtu ninayeweza kumuamini na ambaye hatakua akinidanganya kimwili au kihisia.
Kila mtu anahitaji mtu ambaye anampenda kabisa na ambaye hatacheza mchezo na moyo wake.
Mwisho kabisa, mimi ni muumini thabiti kwamba...
Ninawaheshimu sana wanawake waliopewa mimba na mtu waliempenda na kwa bahati mbaya wakaachwa na baba wa mtoto huyo. Ninawaheshimu sana wanawake hawa kwa sababu ni mtu mwenye akili timamu tu ndiye angeweza kusimama tena baada ya kuachwa na mtu ambaye alimuamini.
Ikiwa hakuna mtu ambaye...
Kwa mwanaume ukishapita miaka 30 hakikisha ( kama una muda) uwe na ratiba ya mazoezi kila siku. Na kama muda ni mchache basi angalau mara moja kwa week. Katika ratiba yako sijaona hilo
Mimi niliota hivi;
Nipo na boss wangu, yeye anaendesha baiskeli (kwa mwendo mdogo) na mimi natembea nyuma ya hiyo baiskeli ni kama tunaonge hivi lkn yeye yupo mbele anaendesha n mimi natembea.
Kuna mahali tulifika kuna daraja linapita juu ya mto, yule boss wangu akiwa anaendesha baiskeli yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.