Chadema udini utatupeleka pabaya jamaa mmoja aliye jiita mchungaji francis alikua akihubili neno la MUNGU juzi mtaani kwetu huku akiwa amevaa magwanda ya chadema.Hivi kweli hii inaleta picha gani? kwa watu watu wa dini nyengine nilazima tufikilie tunakwenda wapi? na kwa muda gani,tatizo tunaona...
Ww kwaakili yako inavyokutuma ni kiongozi gan? ambae hajali maslahi ya familia yake akaangalia maslai ya mtanzania.ET AENDE KWA WACHUMIA TUMBO WENZIE acheni ushabiki wa vyama nyinyi haohao mnaowashabikia lao moja mwanasiasa mwanasiasa 2 tuache imani potofu vijana hakuna atakae badilisha maisha...
Ushauri utolewe sio kulaumu 2 nn kifanyike? nan awajibishwe? kwenye taasisi hizi kiserikali maana wengi wao wanajifanya miungu watu nakusahau kua cheo ni dhamana 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.